ZamdaIssa
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 879
- 1,456
Aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi TV na Wasafi FM Fatma Abdallah almaarufu Kungwi mkata shombo amefariki dunia mchana wa tarehe 15/08/2020 hospitali alikokua amelazwa baada ya kuugua kwa muda wa wiki 2!
Chanzo cha ugonjwa hakijaafahamika bado! Marehemu anatarajiwa kuzikwa Leo saa kumi jioni nyumbani kwao Zanzibar katika makaburi ya Mwanakwerekwe!
Innalillah wainna ilaihi rajiuun!
Poleni Wasafi Kwa ujumla
Chanzo cha ugonjwa hakijaafahamika bado! Marehemu anatarajiwa kuzikwa Leo saa kumi jioni nyumbani kwao Zanzibar katika makaburi ya Mwanakwerekwe!
Innalillah wainna ilaihi rajiuun!
Poleni Wasafi Kwa ujumla