Mkurugenzi Mkuu Dkt. Ayub Rioba anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu, Mwandishi wa Habari Elisha Elia, kilichotokea tarehe 24/10/2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Yani walosema kufika sijui mwaka gani waandishi wawe na degree waliona mbali. Slow down mzee unapoingia barabara kuu, embu tuambie nini kimetokea kupelekea kifo chake R.I.P mwandishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.