GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Kwenye Kurasa zenu mmeweka Saa 4 Kamili, Mratibu wa Simba SC Abbas Ally jana katika Mahojiano na Vyombo vya Habari vya Tanzania kasema ni Saa 3 na siyo Saa 4 kama ilivyotangazwa awali, Leo Asubuhi Mtangazaji wenu wa Morning Express kasema ni Saa 3 na Watangazaji na Wachambuzi wa Kipindi chenu cha Michezo cha Jioni wanajichanganya mara waseme Saa 4 mara Saa 3 huku Redio nazo EFM, Clouds, Wasafi FM East Africa Radio nao wakishindana katika Kubahatisha muda Kamili wa Mechi ya Wydad Casablanca FC na Simba SC huko nchini Morocco.
Kiukweli mnatuchanganya mno yaani tuwaze Ugumu wa Mechi hii ya Leo na huku tena hata hatujui na hatuna uhakika wa muda Kamili wa Mechi kuanza.
Tafadhali semeni muda Kamili wa Kick Off ya hi Mechi vinginevyo taratibu sasa nami GENTAMYCINE nitaanza Kuwadharau na Kuwapuuza.
Kiukweli mnatuchanganya mno yaani tuwaze Ugumu wa Mechi hii ya Leo na huku tena hata hatujui na hatuna uhakika wa muda Kamili wa Mechi kuanza.
Tafadhali semeni muda Kamili wa Kick Off ya hi Mechi vinginevyo taratibu sasa nami GENTAMYCINE nitaanza Kuwadharau na Kuwapuuza.