Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
aahh kama ni huyu jamaa miaka yote mbona ndivyo alivyo mkuu. una picha yake akiwa mnene?
PJ ni mwembamba tangu anasoma Lake SecondaryLast week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?
😂😂😂 unageuka REA na ww unasambazaUkiona hivyo ujue nae washamuunga na grid ya taifa..anahangaika nae kugawa umeme
KitongaAiseee alikuwa adicted na MIJIMAMA.
Ofisi ya Makamu wa Rais
Mungu amuweke mahali pema peponi ila huyu bwana nadhani alikuwa akiitwa mc stopper na sio hammer naomba ujilidhishe tena maana namfahamu kiasi flani hata kabla hajawa mtangazajiAliyekuwa mtangazaji wa StarTv, Muhsin Mambo Alias MC Hammer afariki dunia siku ya leo tarehe 8 Februari nyumbani kwake nchini Marekani.
Pia soma > Muhsin Mambo yuko wapi?
View attachment 1697531
Mwanahabari Mukhsin Mambo, wakati wa uhai wake
--
Mwandishi wa habari Mukhsin Mambo, amefariki dunia hii leo Februari 8, 2021, akiwa nyumbani kwake nchini Marekani. Mambo, amewahi kufanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.
Akizungumza na EATV&EA Radio Digital hii leo Februari 8, 2021, Bernard James, ambaye ni mmoja wa watu aliowahi kufanyanao kazi amesema kuwa taratibu za msiba zinafanyika jijini Mwanza maeneo ya Capripoint kwa Dada yake.
Aidha James ameongeza kuwa kwa mujibu wa taarifa za awali zinadai Mambo, alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa kipindi cha muda mfupi na kwamba mpaka mauti yanamfika alikuwa anajisikia vibaya kabla ya kukimbizwa hospitali.
Mukhsin Mambo amewahi kufanya kazi katika kituo cha Radio Free Africa (RFA) Mwanza na TV1.
Mwandiko wa genta huuKitonga
Hata Mimi nilikuwa namkubali..Daah nilikuwa namkubali sana.
Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
ZUBERI MUSABAHA VOLT LAKI SITA.prince baina kamukulu
samada maduhu
muhsin mambo
yule jamaa wa bolingo time
Brother wangu yuleMwandiko wa genta huu
Lini alisoma hapo?PJ ni mwembamba tangu anasoma Lake Secondary
Dah naye ameondoka. Maisha ni fumbo kubwa sanaDah! Akapumzike kwa Aman muhsin vip jumaa Ahmed baragash yuko wapi siku hizi
juma hamed baragaza naye r i pDah! Akapumzike kwa Aman muhsin vip jumaa Ahmed baragash yuko wapi siku hizi