Jamaa maneno meeeengi hata hayahusiani na game yenyewe. Akimtaja mchezaji ataanza kumchambua weeee hadi club alizopita, badala ya kutangaza mpira unaochezwa uwanjani yeye ni ujuaji na story tu. Yaani utafikiri yupo kwenye kipindi cha majadiliano.
Too much boring.
Halafu hata tone/sauti yake haiko kiutangazaji wa soka, utafikiri anaimba shairi
Too much boring.
Halafu hata tone/sauti yake haiko kiutangazaji wa soka, utafikiri anaimba shairi