Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Nimeipata taarifa hii toka Zanzibar.
"Aman kwako! Maulid Hamad Maulid, ripota wa itv zanzibar, ametangulia mbele ya haki,
innah lillah wainna illahi rajiun!".
Chanzo cha kifo ni ugonjwa wa moyo. Mazishi/Maziko ni kesho saa 4:00 asubuhi huko Zanzibar.
RIP Maulid Hamad Maulid.
Pasco.
Nimeipata taarifa hii toka Zanzibar.
"Aman kwako! Maulid Hamad Maulid, ripota wa itv zanzibar, ametangulia mbele ya haki,
innah lillah wainna illahi rajiun!".
Chanzo cha kifo ni ugonjwa wa moyo. Mazishi/Maziko ni kesho saa 4:00 asubuhi huko Zanzibar.
RIP Maulid Hamad Maulid.
Pasco.