Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Ni tumbo MojaHivi ni kweli kwamba ndo baba wa Ibrahimu Masoud Maestro ambaye ni mchambuzi wa habari za michezo E FM?
Ni tumbo MojaHivi ni kweli kwamba ndo baba wa Ibrahimu Masoud Maestro ambaye ni mchambuzi wa habari za michezo E FM?
ha ha ha......Jamaa ni Mzaramo aise...jamii ya akina Mbwiga.Zomboko mtu wa kujikomba sana..afu yeye anajua mziki wa bendi za Daresalama tu na ubabaishaji mwingiii
weka wazi Masoud alipochemsha na sio kutuhumu tu... pengine hukumuelewaJamaa ni manju wa muziki lakini aliniacha hoi pale alipochemsha simulizi za marehemu Papa Wemba. Yaani sijuwi alidanganywa na nani maana alikosea wasifu wa Papa Wemba vibaya sana. Mwingine ambaye alikuwa mtaalam wa muziki ni marehemu Maestro Freddy Mosha. Jamaa alikuwa noma sana, Mungu ailaze roho yake peponi.
Ah ah ah ahduu nilidhan kavuta
weka wazi Masoud alipochemsha na sio kutuhumu tu... pengine hukumuelewa
Ama hakika hili ni gulu la habari za mziki na wanamziki.
Anaujua mziki hasa wa enzi zile sio hawa vijana wa kileo na kelele kelele za bangi.
Kutangaza hawajui ujuaji mwingi, matusi na maisha yao yamegubikwa makandokando mengi.
Cc Adam Mchomvu&B12
Alaa kumbeNi kaka yake wa kuzaliwa hawa ni watu wa Tabora kwa baba na mama ni mpemba kama sijakosea.
Mkuu Maelezo ya Kwanza ndio hayo hayo Yupo TBC msome vizuri mleta uzi kaelezea vizuri tu... TBC RadioAnatangaza wapi siku hizi?
uko sahihi , ukisikiliza mahojiano yake na wanamuziki wa enzi hizo utasikia burudani tu, anamjua muhojiwaji na anajua amuulize nini. niliwahi kumrekodi akimuhoji, marehemu Kabeya Badu, Dingituka Molay na wengine wengine, ni kati ya watangazaji wenye upeo mkubwa na kazi yake.Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.
Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.
Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.
Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.
Hongera Manju,
MASOUD MASOUD !
unajua mda mwingine bangi sio nzuriPole mkuu, inaonesha umezoea kupokea taarifa mbaya!
Mwanamziki wa kweli kweli ni yule anaepiga hela for future ww na sauti yako nzur huna lolote umaarufu mjin PESAanakwambia mwanamuziki wa kweli ni ally kiba tanzania chanzo mkasi wa eat tv.