Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Huyu Mwamba huwa namsikia Jumamosi asubuhi. Aisee hana mpinzani kwenye narrations . Nilimsikia siku moja akisimulia ajali ya ndege ya wale wachezaji wA Zambia, Yani anakuchukua anakuweka ndani ya tukio. Ni muvi aisee! Najiuliza tu anawezaje juwa vitu vyote hivii!?? Je hawazi kuziweka hizi simulizi kwenye kitabu!? Alafu mbona hayupo kwenye social media!!?
 
Huyu Mwamba huwa namsikia Jumamosi asubuhi. Aisee hana mpinzani kwenye narrations . Nilimsikia siku moja akisimulia ajali ya ndege ya wale wachezaji wA Zambia, Yani anakuchukua anakuweka ndani ya tukio. Ni muvi aisee! Najiuliza tu anawezaje juwa vitu vyote hivii!?? Je hawazi kuziweka hizi simulizi kwenye kitabu!? Alafu mbona hayupo kwenye social media!!?
Siku moja alikua ana muelezea whitney Huston...... Aisee jamaa alikwenda deep sana nikawa kama naangalia documentary kwente Tv kumbe nasikiliza redio

Kuna siku alikua anachambua aina za sauti na uwezo wa waimbaji duniani, hapo ndipo nilipo kuja kubaini kuwa Ruby anakipaji cha hali ya juu sana cha sauti miongoni mwa wanamuziki wa kibongo
 
Angekuwa anafanya freelancer anazunguka vyombo tofauti tofauti huko alipo sidhani kama anaonekana ipasavyo...

Ila ndio hivyo huenda ni maslahi huko Pengine if It don't make Dollars then it don't make Sense.....
 
Yupo vizuri, ila sijui hapendi exposure yeye, kwa maana hata ya kutoka na kutangaza redio ama tv tofauti na aliyopo.

Ila kuna wakati kama nilikuwa namsikia BBC SWAHILI, miaka kidogo imepita, ila ni kwa muda tu nikamsikia tena karudi TBC

Anaijua vema kazi yake. Hongera yake.

Ahsante!
Amefanya kazi redio kubwa karibu zote
 
Hapendi kuingiliwa kwenye taaluma awapo kazini, alesema kilicho muondoa IPP enzi hizo ni kuletewa habari aitangaze wakati tayari alikuwa amekwisha anza kurusha habari radioni na hiyo habari ilikuwa haija hakikiwa ila kwa kuwa ililetwa na bosi enzi hizo marehemu MUTIE aka kataa kuisoma na bosi akamwambia aandike barua ya kujieleza akampa maelezo ya mdomo bosi aka mind maosud akaamua kuacha kazi. Nadhani hiki ndio kimemfanya abakie TBC kuongozwa kimzuka na mabosi wasio na taaluma ni shida.
Jamaa ana msimamo sana
 
Mwanamziki wa kweli kweli ni yule anaepiga hela for future ww na sauti yako nzur huna lolote umaarufu mjin PESA
Huo ni mtazamo hasi mkuu, kila mtu anahitaji pesa lakini wapo wanaoridhika mapema ingawa wangeamua wangezimake.
 
Siku moja alikua ana muelezea whitney Huston...... Aisee jamaa alikwenda deep sana nikawa kama naangalia documentary kwente Tv kumbe nasikiliza redio

Kuna siku alikua anachambua aina za sauti na uwezo wa waimbaji duniani, hapo ndipo nilipo kuja kubaini kuwa Ruby anakipaji cha hali ya juu sana cha sauti miongoni mwa wanamuziki wa kibongo
Yap...nilikisikia hicho kipindi...nafikiri haswa alikuwa anamzungumzia UMU KULUTHUUM wa Egypt
 
Mtangazaji kama huyu katika miaka ya sasa ni ngumu kumpata kama wapo basi ni wachache sana wa kuhesabu. Amewai kuchambua kwa kusema uu wapi Mziki wa Tanzania kwenye mizania ya kimataifa, tukisema tuonyeshe muziki wetu tutasema ni Bongo Fleva au Amapiano.. anasema chembe yenye asili ya muziki wa Tanzania ilibakia kwa Msondo na Sikinde na bado haoni wa kuuendeleza...
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom