Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

ni chotara wa kiarabu,mama yake ni mwarabu na baba yake ni mswahili
Sijui ni waarabu au vipi ? Mama yake ni wale wagunya wa Mombasa. Baba yake ni mnyamwezi wa Tabora kwao mtaa wa Bachu pale. Baba alikua Information manager wa Williamson Diamonds Ltd. Na wao wamekulia Mwadui mgodini. Masoud Masoud alisomea O' level Shinyanga Secondary School aka Shybush baadae akaenda Dar na kua DJ kwa jina la Nigger J. Hayo ndio nakumbuka alisoma na kaka zangu hapo mgodini, mie nimesoma na wadogo zake shule ya msingi classmate, Hemed Masoud.
 
Masoud Masoud anaujua sana music na science yake. Kila Jumamosi saa kumi na moja na robo alfajiri, napenda kusikiliza kipindi chake cha "MANJU WA MUZIKI - TBC TAIFA". Ni burudani sana kukisikiliza.

Binafsi 'na-declare interest' kwamba nimesoma science na ku-specialize sana kwenye Physics.
 
Nilimsikia anasimulia jinsi wimbo wa World Cup unavyopatikana. Yaani unaenjoy sana kumsikiliza🙌🙌
 
Hapo TBC Kuna watangazaji wawili tu ndo huwa nasikiliza vipindi vyao vinavyohusiana na mziki, Masoud Masoud na mbazigwa Hassan
 
Masoud Masoud anaujua sana music na science yake. Kila Jumamosi saa kumi na moja na robo alfajiri, napenda kusikiliza kipindi chake cha "MANJU WA MUZIKI - TBC TAIFA". Ni burudani sana kukisikiliza.

Binafsi 'na-declare interest' kwamba nimesoma science na ku-specialize sana kwenye Physics.
Hiki kipindi nilikuwa nakitafuta sana, nilikisikiliza 2013 kumbe bado kipo, ntaanza kukifatilia tena.
 
Back
Top Bottom