Mtangazaji Jonijoo atoka Wasafi FM/TV na kuhamia ETV/EFM

Kuna watangazaji Tanzania hii hawahitaji ukubwa wa channel kufuatiliwa, popote wakiwepo wanahama na kijiji chao, wafuatao ni baadhi ya watangazaji hao:
1. Salama Jabir
2. Captain G Habash
3. Maulidi Kitenge
4. Jonijo Babako
5. Millard Ayo
Ukiwa ndio boss wa hawa watangazaji, wachukulie kama maboss wenzako, sio wafanyakazi wako.
6.Dozen
7.Sam Misago kwa mtazamo wangu!
 
Kama wakihama kwenda media nyingine maboss wao wawe makini pia....kwani nimekwambia wamewahi kuhama!
Wapo watangazaji ambao walikuwa wanavuma kwenye vituo vyao vya mwanzo, walipoamua kuhama wakafutika kwenye ramani. So kuhama na kuendelea kuhit ni mojawapo ya kigezo muhimu kuwa huyo mtangazaji ni potential habebwi na media.
 
Unaamini planet Bongo Dullah bado inauzito kama ilivyokuwa ya Salama? Utakuwa una utani mkuu.Planet Bongo ya salama ilikuwa never miss.
Hata XXL ni brand kubwa kwasababu ya combination ya watangazaji, itaendelea kuwepo kwasababu clouds wajanja uwa wanaintroduce watangazaji mapema kabisa kabla wale wakubwa hawajaondoka mfano leo hii akiondoka bdozen watu washazoea kuwasikia wakina perfect, mumy baby na mina ally so haitaleta effect sana na huenda mbeleni wakaongeza wengine pale
Yametimia mzee Mwamba kasepa.... Wacha tuendelee na wakina perfect!
 
Wewe hujui kitu,Salehe Jabir a.k.a kuvichaka ni bonge la redio presenter hapa nchini
huyo salehe jabir hamna kitu kapooza sana hajawahi kuwa bora..hafai kutangaza kipindi cha bongo flavour
 
Wewe hujui kitu,Salehe Jabir a.k.a kuvichaka ni bonge la redio presenter hapa nchini
hamna wa hovyo tu.. mnampaga sifa asizo stahiki.. hamna kitu mule
sipingi kwamba anajua sana kuhusu history ya muziki.. but kujuahistory na utangazaji ni mambo mawili tofauti
 
hamna wa hovyo tu.. mnampaga sifa asizo stahiki.. hamna kitu mule
sipingi kwamba anajua sana kuhusu history ya muziki.. but kujuahistory na utangazaji ni mambo mawili tofauti
Watangazaji bora wakitajwa lazima awemo kwenye list
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom