dendizzo
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 954
- 1,313
Ezden last time nilimuona akiwa anatangaza TV 1.Daah na kuna mwingine alikuwa anajiita Ezeden the rocker akitangaza asubuhi.Kiss fm ndo redio ambayo kiukweli ilikuwa inawatangazaji wanaovutia kuwaskiliza..De7 na demu mmoja hivi sijui akiitwa nani!
Speaking of D7 daaah alikua anatangaza na mdada mmoja sikumbuki jina lake ile kipindi ni African beats.. Top ujazo hahaha.