Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 63,771
- 159,976
Kabisa lo muda ni jibu zuri
Kabisa lo muda ni jibu zuri
Lissu ninatofautiana Naye mengi ila kwenye suala la muungano tunashea rohoKama Lissu anaipigania Tanganyika iliyomezwa anakosa gani? Where is Tanganyika?
Kwanini hakuna mamlaka ya bara inayoweza kuvuka bahari huku mamlaka ya Zanzibar inaweza kuvuka bahari?
Watanganyika wenye vyeo acheni ujinga, wajukuu zenu watasema wazee wetu walikuwa matahira kwa mienendo yenu.
Fedha zinaishia, vyeo vinapita.
Yanapelekwa kama ng'ombeKuna watanganyika wasio na akili ndiyo wanufaika na huu ujinga wa muungano feki akina nape and the like
Kwanza ni muungano gani wa kulazimisha a, kuna huu uchafu unaitwa mwenge na muungano sitaki kabisa maccm yanalazimisha Mambo ya kijingajinga tuTumelogwa siyo bure. Na bado vijamaa vinataka ajira 50/50 kwenye Wizara za Muungano. Eti BOT ni yao, wamejipata sana tukae chonjo
wanakera sana viongozi kama Nape, Nape huyu huyu aliyepiga magoti kuomba msamaha nae eti anamkemea Lissu.
Hajawahi kumiliki akili yule japo ana fuvu kubwaDiamini kama Nape ana akili iliyokamilika. Labda kama huwa inamjia na kuondoka.
daaahhata wale wanaompinga mdomoni,moyoni wanamshukuru kwa kutoa ile hoja. watanganyika wote hawaoni faida ya muungano, zanzibar ni mzigo.