Kwa nyakati tulizopo sasa, uwanja wa siasa na harakati nilazima ufanywe kwa kutumia mitandao ya kijamii, hii ni kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia kukua kwa kasi
Hali imekuwa tofauti hapa nchini Tanzania ambapo wanaharakati wengi wanaofanya uchambuzi wa mambo mengi kisiasa na kukosoa au kupinga serikali ya Magufuli huishia kutekwa, kuuliwa na wengine kupotezwa kimyakimya
Mtandao wa Twitter hapa nchini si salama kwa watumiaji wake
Watumiaji wa Twitter hawana pa kujificha, serikali imekuwa ikiwabaini wakosoaji wa serikali na rais kisha kuwateka, kuwatesa na kuwaua
Nitumie fursa hii kuwakumbusha vijana wenzangu tunaotamani kuiona Tanzania ya democracy na maendeleo kusoma alama za nyakati, Jiwe amedhamiria kumaliza wakosoaji wote na wanaojiita wanaharakati
Kiusalama, Twitter haitufai kwa sasa
Hali imekuwa tofauti hapa nchini Tanzania ambapo wanaharakati wengi wanaofanya uchambuzi wa mambo mengi kisiasa na kukosoa au kupinga serikali ya Magufuli huishia kutekwa, kuuliwa na wengine kupotezwa kimyakimya
Mtandao wa Twitter hapa nchini si salama kwa watumiaji wake
Watumiaji wa Twitter hawana pa kujificha, serikali imekuwa ikiwabaini wakosoaji wa serikali na rais kisha kuwateka, kuwatesa na kuwaua
Nitumie fursa hii kuwakumbusha vijana wenzangu tunaotamani kuiona Tanzania ya democracy na maendeleo kusoma alama za nyakati, Jiwe amedhamiria kumaliza wakosoaji wote na wanaojiita wanaharakati
Kiusalama, Twitter haitufai kwa sasa