BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,040
Habri za usiku wanajukwaa.
Wakubwa nimeamua kuachana na mtandao wa Tigo kutokana na huduma zao mbovu na hawataki kubadilika. Tatizo lao ni internet mbovu imagine unanunua GB30 lakini internet utajua pa kuipatia, nimevumilia sana lakini nimeshindwa.
Tigo kwaheri nimekua mteja wenu toka 2008 ila sasa hivi nawaachia mtandao wenu, mtu anakupigia upo hewani lakini hupatikani kweli haki hii?
Nisaidieni mtandao gani mzuri hasa kwenye internet kati ya Vodacom na halotel? Nataka internet yenye kasi gharama za vifurushi sio tatizo.
Wakubwa nimeamua kuachana na mtandao wa Tigo kutokana na huduma zao mbovu na hawataki kubadilika. Tatizo lao ni internet mbovu imagine unanunua GB30 lakini internet utajua pa kuipatia, nimevumilia sana lakini nimeshindwa.
Tigo kwaheri nimekua mteja wenu toka 2008 ila sasa hivi nawaachia mtandao wenu, mtu anakupigia upo hewani lakini hupatikani kweli haki hii?
Nisaidieni mtandao gani mzuri hasa kwenye internet kati ya Vodacom na halotel? Nataka internet yenye kasi gharama za vifurushi sio tatizo.