Wood Stone
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 647
- 1,007
Tigo ishakuwa shirika la upigaji na wanapata hela sana. 2500 X watu 70,000 wanahela nzuri. Juzi kati walitembea na hela yangu ila nikasemehe. Halotel nimeweka vocha ya buku wakapita nayo wakanibakizia 619. Niliudhika sana siku hiyo. Pole sanawe acha tu, hii mitandao kwakwel ni janga