- Thread starter
- #21
Alaa kumbe hakuna kuingia sehemu, ila wanajaza automatically!!!!Ukijaza vocha unajazwa mb/dk/sm moja kati ya hivyo
Alaa kumbe hakuna kuingia sehemu, ila wanajaza automatically!!!!Ukijaza vocha unajazwa mb/dk/sm moja kati ya hivyo
Ngoja nijaribu jua,hahahahahahahabonyeza mwezi 148 mwezi 00, utawapata
Yaah haipo.Kwa hiyo hiyo huduma haipo tena imebakia jaza ujazwe au?
Ndio mkuuAlaa kumbe hakuna kuingia sehemu, ila wanajaza automatically!!!!
Ilikuwa nzuri sana, walianza tu niliweka elfu tano nikawa na dakika kama 100 za mitandao yote, sasa leo zimeisha nimetaka kurudia kumbe kuna mabadiliko, tigo bwana!!!Yaah haipo.
University offer pia wameiondoa... Hawa jamaa washafulia ngoja nikanunue line yangu ya Halotel... Niendelee kuburidika na bandosasa hii jaza ujazwe naipata kwenye menu au?
maana hapa naona
OFA MAALUM
MIniKabang
tigo - tigo Xtreme
vifurushi vya kimataifa
internet vifurushi
Ahsante kwa kunielewesha SouthNdio mkuu
Wapendwa naomba mnijuze, hivi mtandao wa tigo wamefuta ile huduma yao ya "halichachi"?
NImejaribu kubonyeza nyota 148 nyota 00 reli ili nipate hiyo option lakini siioni!!!!
Live it, Love itIlikuwa nzuri sana, walianza tu niliweka elfu tano nikawa na dakika kama 100 za mitandao yote, sasa leo zimeisha nimetaka kurudia kumbe kuna mabadiliko, tigo bwana!!!
Labda hilo la vyuo vikuu watakuwa wameliondoa huu mwezi wa Ramadhan kwa kuwa kuna watu amefunga, sio mwanafunzi lakini anakwenda kuunga bando la chuo kwa hiyo anapata dhambi kwa hiyo watakuwa wamelisitisha ili wasiwatie watu waliofunga majaribuniUniversity offer pia wameiondoa... Hawa jamaa washafulia ngoja nikanunue line yangu ya Halotel... Niendelee kuburidika na bando
waooo, ngoja nifanye hivyo halafu nitakupa "mlisho nyuma" au feedbackdial *148*02# utakuta kifurushi kipo mimi nimejiunga muda sio mrefu
hapo nimekuta internet packs. ahsante kwa kunielekezadial *148*02# utakuta kifurushi kipo mimi nimejiunga muda sio mrefu
je umeshawahi kumdunga mtu na kitu chenye ncha kali?Umejaribu mara ngapi? Je unataka kujidunga na kitu chenye mcha?
Pamoja sanaAhsante kwa kunielewesha South
Hiyo ya kumpa mlisho nyuma bora litumike neno la kingereza tuwaooo, ngoja nifanye hivyo halafu nitakupa "mlisho nyuma" au feedback
Hiyo ya kumpa mlisho nyuma bora litumike neno la kingereza tu