Isaac nyonyox
Member
- Mar 11, 2015
- 60
- 21
Airtel masaa 48 kwa 500Tsh
1.2 GB
Ila kama uliwasha ndo hivo wanakula
Kwa kweli airtel wahudumu wake wanadhalau sana sana sana tena sana mimi airtel nina miaka 17 toka celtel ila hawa wa sasa hapana pangekua wanaweza wakabadilishana na voda au tigo mwezi mmoja tu wangenyooka ukipiga simu wakipokea same time wanakata wakipokea kama hamuelewani nao wanakwambia bonyeza 5 yaani uwaburudishe muziki uwapendao, kweli mteja unamjibu hivyo?
Hizo voucher special zinakuaje?
Mbona Mimi huwa Siibiwi kijinga Jinga.. Maana Naweka Hela Yangu Kama Ni Airtel Money.. Tigo Pesa Au M pesa.. Then Kama Nataka Kujiunga Huwa najiuliza Haya
1. Nimekopa
2. Nimewasha Data
3. Simu yangu Ina Auto Update ya Apps
4. Kuna App Inaendelea Kudownload
5. Nimejiunga na Mahuduma Yao ya Kishenzi shenzi. Sijui Caller tune... Ofa sijui za Magazeti... N.k
Na Jibu Likija NO. Ndo natoa Pesa Kwenye Account yangu najiunga na Bundle.. Sinaga Mtindo wa Kununua Vocha Direct hata Siku Moja... Kama Nataka matumizi ya Mwezi natenga Bajeti ya Mwezi naweka Kwenye Account yangu ya Simu..
Mtakuwa Mnalia Kila Siku Sometimes ni Makosa YENU . unakuta Mtu una Madeni kibao halafu ukikatwa Unalalamika
Hao hao kuna mikoa wameibagua sana , Kama Iringa hamna Ofisi za Airtel so kama unahitaji huduma funga safari kwenda Mbeya au Dodoma ndo utakutana na hizo ofisi