Mtandao wa Airtel sasa wanatuibia wateja wao bila woga

Mtandao wa Airtel sasa wanatuibia wateja wao bila woga

Qualifier

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
1,252
Reaction score
408
Wapendwa wa JF,

Leo hii nimefanyiwa kitendo cha dhuluma na mtandao wa simu wa airtel, mtandao nilio utumia kwa takribani miaka 15 leo wameamua kunihujumu.

No wazi kwamba wanadhani kwa kudumu kama mteja wao kipindi kirefu hivi Mimi ni mateka wao siwezi kuhama mtandao kumbe la, Jana nilinunua muda wa maongezi Tsh. 2200/= kwa lengo la kijiunga na kifurushi cha INTERNET cha GB 1 wakati ninaunganisha nikambiwa salio halitoshelezi, nilipo angalia salio nikaona kuna Tsh. 85 badala ya Tsh. 2200.

Nilipo piga customer service nikambiwa tatizo langu lita shughulikwa muda mfupi. Nikaamua kuahirisha kazi niliyotaka kufanya , nimerudia kupiga asubuhi hii ninaambiwa subiri dakika chache baada mhudumu anakata simu.

Ninajua humu JF wapo wafanya kazi wa company hili wajue nimekasirika na wajue Mimi kudumu miaka 15 kama mteja wao sio mateka wao ninaweza kuhamia mtandao itakayo nijali sio kuniibia hela halafu hawatoi majibu na kukata simu HUU NI UHUNI!
 
Pole sana Qualifier ila wakati unenunua huo muda wa maongezi data ulikua umezima/umewasha?? maana unaweza kuta ulichop money kwa kuwasha bundle na mwisho wa siku ndo ukakuta kilichoponea ndo hiyo sh.85
 
Vodacom pia wamekula buku yangu....yaani najiunga salioo wanakata bundle hawatoi...hii mitandao ni sheeda..pole mkuu
 
Pole sana Qualifier ila wakati unenunua huo muda wa maongezi data ulikua umezima/umewasha?? maana unaweza kuta ulichop money kwa kuwasha bundle na mwisho wa siku ndo ukakuta kilichoponea ndo hiyo sh.85

Nadhani hakuzima
 
Airtel ndo wale ukitaka kuongea na mtoa huduma wa airtel money inabidi utozwe sh.60! Kuna kijana mmoja alisema atahakikisha kuwa bei za mitandao zinashuka wakati anaingia wizara ya mawasiliano....... naona alisahau..
Back to the point, airtel wana huduma mbovu sana za huduma kwa wateja. Nimeshapata matatizo ya kulipia huduma. Unalipia huduma say KK security. Malipo hayareflect KK na airtel hawakurudishii pesa yako. Utapiga simu hadi ukome.
Nimehamia TTCL landline
 
Airtel ndo wale ukitaka kuongea na mtoa huduma wa airtel money inabidi utozwe sh.60! Kuna kijana mmoja alisema atahakikisha kuwa bei za mitandao zinashuka wakati anaingia wizara ya mawasiliano....... naona alisahau..
Back to the point, airtel wana huduma mbovu sana za huduma kwa wateja. Nimeshapata matatizo ya kulipia huduma. Unalipia huduma say KK security. Malipo hayareflect KK na airtel hawakurudishii pesa yako. Utapiga simu hadi ukome.
Nimehamia TTCL landline

Hao hao kuna mikoa wameibagua sana , Kama Iringa hamna Ofisi za Airtel so kama unahitaji huduma funga safari kwenda Mbeya au Dodoma ndo utakutana na hizo ofisi
 
Kwa kweli airtel wahudumu wake wanadhalau sana sana sana tena sana mimi airtel nina miaka 17 toka celtel ila hawa wa sasa hapana pangekua wanaweza wakabadilishana na voda au tigo mwezi mmoja tu wangenyooka ukipiga simu wakipokea same time wanakata wakipokea kama hamuelewani nao wanakwambia bonyeza 5 yaani uwaburudishe muziki uwapendao, kweli mteja unamjibu hivyo?
 
Ulikua hujazima mobile data wakati unanunua salio kwaio hakikisha unazima data ndio ununue salio.
 
Mbona Mimi huwa Siibiwi kijinga Jinga.. Maana Naweka Hela Yangu Kama Ni Airtel Money.. Tigo Pesa Au M pesa.. Then Kama Nataka Kujiunga Huwa najiuliza Haya

1. Nimekopa
2. Nimewasha Data
3. Simu yangu Ina Auto Update ya Apps
4. Kuna App Inaendelea Kudownload
5. Nimejiunga na Mahuduma Yao ya Kishenzi shenzi. Sijui Caller tune... Ofa sijui za Magazeti... N.k

Na Jibu Likija NO. Ndo natoa Pesa Kwenye Account yangu najiunga na Bundle.. Sinaga Mtindo wa Kununua Vocha Direct hata Siku Moja... Kama Nataka matumizi ya Mwezi natenga Bajeti ya Mwezi naweka Kwenye Account yangu ya Simu..

Mtakuwa Mnalia Kila Siku Sometimes ni Makosa YENU . unakuta Mtu una Madeni kibao halafu ukikatwa Unalalamika
 
Airtel ni WEZI wa kutupa hasa kwenye huduma ya airtel money. Nilikuwa nikiweka vilaki vyangu vya mawazo kama akiba bila ya kuzitumia wakawa wanapunguza elfu tano hadi kumi.
Nikawa najiuliza maswali iweje pesa ipungue kila ninapoongeza pesa kuweka nikafanya kareseach kama mara mbili kwa kuweka kupumbukumbu ya salio nikagundua naibiwa na hata nilipojaribu badili namba ya siri tatizo likawa linaendele so kiujumla airtel ni WEZI.
 
Airtel ndo wale ukitaka kuongea na mtoa huduma wa airtel money inabidi utozwe sh.60! Kuna kijana mmoja alisema atahakikisha kuwa bei za mitandao zinashuka wakati anaingia wizara ya mawasiliano....... naona alisahau..
Back to the point, airtel wana huduma mbovu sana za huduma kwa wateja. Nimeshapata matatizo ya kulipia huduma. Unalipia huduma say KK security. Malipo hayareflect KK na airtel hawakurudishii pesa yako. Utapiga simu hadi ukome.
Nimehamia TTCL landline

Mkuu hili mimi binafsi nimeshaliongea sana hapa jamvini, na kiukweli inakera. Yaani nataka kuongea na mtoa huduma lazima nikatwe kiasi kadhaa cha fedha. Worse ni kwamba si kwamba ukikatwa hiyo 60/=Tshs ndiyo utafanikiwa kuongea naye la hasha utakatwa takribani mara sita au mara saba ndiyo unaunganishwa, then ukiongea naye atakueleza then kukwambia "piga tena".

Issue nyingine, iliyokuwa user friendly ni internet service and it's package illikuwa cheap lakini bora(package kubwa) ingawa sasa wamebadilisha.

Other than that, sipati shida na airtel.
 
Mie nilishagombana nao kuhusu vinyimbo nyimbo wao wanadhani kila mtu ni mtoto
Eti wanakata 35 daily ilhali mie sijajiunga na vinyimbo vyao.
sasa kasheshe ni kujitoa wanasema andika unsub tuma 0901000000
lakini ni usanii msg haiendi
ukiwapigia 100
maelezo mengii .......to hell...... wao wanadhani kila mtu ana interest ya kusikiliza blah blah pokea simu f*****en.
na mkipokea mnasema mnatoa bado hamtoi****&&^%$# mae
halafu nikiwapigia tena 100 mnadai eti natakiwa nilipie yaaani procedure zooote
hizi mnazitengeneza makusudi ili mtuibie fedha ****$#@Airtel
:angry::angry::angry::angry:AIrTEL muwe na ADABU....
Bunge lijalo makampuni yoote ya simu hisa 50% tunazinunua wananchi.

 
niliweka kumi na taionno ikapotea within a second wakaniambia application zina run, uongo mtupu. Naunga mkono hoja
 
airtel ni escrow type...ukijiunga ddk wanakupa na MB...cha kuchekesha ukiwa na kisimu cha tochi ukija angalia mb huzikutiii...zimetumikaje wanajua wao
 
Back
Top Bottom