We mzee mbna unajisifu hvyo....then hii thread haiendan na umr wako...shkamoo mzee
ngoja hao mabinti waje wadhibitishe kupinduliwa pinduliwa kama chapati
hayo macho ulizaliwa yakiwa kiyahawani hivyo hivyo au baada ya kukua ndio umeyageuza ya kihayawani??
mm sio mwl wa kiswahili wala kiingereza.................Mkuu Mtambuzi nimequote yote kuonyesha furaha yangu kwa lugha iliyotumika . Yaani imeshiba sana na imejaa nahau na misemo ya kufurahisha, kufikirisha, kufundisha nk.
Waalimu wa kiswahili mumwombe Mtambuzi awaruhusu kuitumia hii kufundishia tupunguzw F za kiswahili jamani.
KakaKiiza ameongelea uhalali wa maudhui mimi huko sitaki kabisa.
Cc: gfsonwin snowhite Madame B Baba V Asprin Paloma Raiza
Afu na wewe na maneno yako hebu muache babangu.
Mtambuzi ngoja nikutaftie viagra uwasurprise hao wanaojipitisha pitisha.na ujue kabisa wanakupendea mahela yako. hawajui maza kakutoa mbali eeh.
Lucas poa zaidi,si unajua samaki wao wa kuchoma alivyo mtam?
I miss you too.
Kopi aione zombie...ujumbe: imekula kwako chezeiya bilionea la kihaya likitia timu vidampa wote mnapeperuka....dadadadeki!
JF bana!
Umekuja eeh
Utatafutwa na wangapi humu..?
Una maswali mengi, kwani we ni polisi?? lol...... Jamani kukumiss kwani ni kosa, yaani waswahili bwana mpaka mtu aseme kabisa kuwa "Nimekumiss"!! Wakati mwingine mtu akijishaua tu unamuelewa kiaina tu kuwa mmhhh huyu kakwama.ulikuwa wantafuta kwani?
Anajifagilia eh Bro?? Ila kaa pembeni acha hii ngoma tuicheze vijana.... lolUtatafutwa na wangapi humu..?
ahahahhahahahahahah
huwaoni wanaotafutana ?
Mbona wiki iliyopita nilikuja kwa mkoloni wako kuchezewa sharubu na kabinti kamoja hata hukuniona kabisa pamoja na kunipita kama mita kumi kutoka niliposimama... LOL
Iwapo ungeniona naamini ungepiga yowe kwa hamaki na kunipigia upatu kuwa FATAKI nimetia timu kwenye eneo nyeti..............