Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,806
- 15,379
sijui kama umekulia vijijini kama mie.
Tulikuwa hatuna mipira hii aina ya kuchezea tenesi.
Tulkuwa tunatumia mayai ya mijusi au nyoka fulani hivi kudunda dunda kama tenesi.
Ukifika umri kama huu wangu, mayai yanadunda tu na wala si unyanyapaa.
Pampzi tunapeleka wapi?
Mkuu mwenzako umri umesonga.....Nafuata maandiko yaliyosema "ENENDENI MKAZAANE MUIJAZE DUNIA"
Pampzi ziletwe MTAMBUZI PUB, pale viunga vya TABATA UBAYA UBAYA.....