hutaki nizae mkuu?
Ni kwamba nilikua na mimi yaani na mimi niwe na wewe sasa naona baasi tena
subiri wa pili nitazaa na wewe
ahhahaahhahha mzee kwa kujioshea wewe!huo ubutiful blak namna hii uutoe wapi!?haya bwana mbembeleze mama ngina lakini halahala mtoto huyo!atembee huyo!Haya WAREMBO nimewasikia..... niko huku namliwaza mama Ngina
ahhahaahhahha mzee kwa kujioshea wewe!huo ubutiful blak namna hii uutoe wapi!?haya bwana mbembeleze mama ngina lakini halahala mtoto huyo!atembee huyo!
Acha mambo yako bana, si tutatumia miti shamba..!
Siku hizi nhata ukitaka kusongesha baada siku mbili tangu uzazi inawezekana, chezea wamasai wewe.....