Duh! mamlaka ya uteuzi ikiwa inaondoa watendaji wazuri kwasababu ya majungu na kusagiana kunguni unakuwa ni udhaifu wa hali ya juu.
Ndio maana wale akina naniliu walikataa teuzi, na hata yule bosi wa zamani wa ile idara ya wale jamaa wanaojaza majina yao kwenye 'mikeka' 🫡
Wateule wapimwe kwa utendaji wao kulingana na malengo waliyokubaliana na kiongozi wao. Ujinga mwingine wote upuuzwe.