Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 164
- 819
Kwan TISS hawatenguliwiMtaka ni tiss toka mzumbe
When the rippen time is due...!Anthony, nakutonya mdogo wangu mfumo haukutaki na ni sababu tu inatafutwa ili ikumwage!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliye kunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!
Maisha yapo tu mlango ukifungwa Mungu anafungua dirisha nalo likigungwa vent zipo- hewa itavutwa tu kwa sababu ni ya bureAnthony, nakutonya mdogo wangu mfumo haukutaki na ni sababu tu inatafutwa ili ikumwage!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliye kunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!
Tanzania ya chawa .Duh! mamlaka ya uteuzi ikiwa inaondoa watendaji wazuri kwasababu ya majungu na kusagiana kunguni unakuwa ni udhaifu wa hali ya juu.
Atakuja mhunze mnadani mchome wote nyama za mbuzi.Anthony, nakutonya mdogo wangu mfumo haukutaki na ni sababu tu inatafutwa ili ikumwage!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliye kunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!
Ndio wapi hapo?Kuna mawaziri pia hawapendi kumuona pale Cuba hasa maprofesa Wanawake. Ajipange
Sasa Mzee Uzi ungeupitatu kwanini umeufungua!Unajua bora uwe na maamuzi ya kuamua unaweka wazi au husemi kabisa. Kama mtaka unamjua vizuri na hutaki kumwaga unga mfate kwake uongee nae kiume. Sio unatuletea mafumbo mafumbo ambayo sisi ambao hatuna interest na mtaka unatupotezea muda.
Be a man speak it out or stay quite. UMENIKERA. Halafu hizi aidii mpya zina shida sana
Ila binafsi Mtaka namkubali kwenye msisitizo wa watoto kusomaAnthony, nakutonya mdogo wangu mfumo haukutaki na ni sababu tu inatafutwa ili ikumwage!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliye kunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!
Kwani uzi umemtag mtu? Means everybody is concerned. Tulia.Sasa Mzee Uzi ungeupitatu kwanini umeufungua!
Kwa hiyo unataka wasomaji wako waelewe kitu gani hapa?Anthony, nakutonya mdogo wangu mfumo haukutaki na ni sababu tu inatafutwa ili ikumwage!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliye kunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!