Maskini chadema nayo inakufa kifo kama cha CUF inasikitisha sana hasa kwetu chama cha mapinduzi kwani tunakosa washindani. Katika hali ya kusikitisha kabisa wananchi wa Arumeru wamemdhalilisha Mwenyekiti wa Chadema Taifa (MBOWE) kwa kutojitokeza kabisa katika mikutano ya Kampeni licha ya kutembea na helcopta ya kuvutia watu wajae ni aibu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Mbowe kuhutubia umati kama huu MICHUZI na kuota ndoto za kuchukua Jimbo. Umati kama huo kwa CCM unahutubiwa na mwnyekiti wa CCM katika ngazi ya shina
Kwa wale wanachama, wapenzi na wakereketwa/mashabiki wa Chama kubwa CCM lisilo na mshindani mambo yanakwenda vizuri na tayari Katibu mwenezi wa Chama Nape ameshatua Arumeru na kuanza kuratibu sherehe za ushindi wa Sioi siku ya Jumapili.
Kwa wale wanachama, wapenzi na wakereketwa/mashabiki wa Chama kubwa CCM lisilo na mshindani mambo yanakwenda vizuri na tayari Katibu mwenezi wa Chama Nape ameshatua Arumeru na kuanza kuratibu sherehe za ushindi wa Sioi siku ya Jumapili.