Bado ni mwajiriwa, lakini ana milioni 70 anataka kuziwekeza. Biashara nzuri aliyoiona inalipa ni kuiwekeza kwenye Ubunge kwa tikti ya CCM mwaka 2015. Unaweza kumshauri kivingine?
Mmmmh..! My God. Hii nchi tunaipeleka wapi?? Yaan anawekeza kwenye UBUNGE!!, Hivi ubunge sikuhizi ni Biashara/resource!!. Sihtaj kuambiwa huyu jamaa ni fisadi, tena kapania hasa kuifisad tz. Ndo maana anawaza kpitia CCM kwa mafisad wenzie. Si bora awekeze hiyo hela ktk soko la HISA kuliko hivyo anavyo fikiri!! Ati kuwekeza kwenye ubunge. Amenikera kchz.
Bado ni mwajiriwa, lakini ana milioni 70 anataka kuziwekeza. Biashara nzuri aliyoiona inalipa ni kuiwekeza kwenye Ubunge kwa tikti ya CCM mwaka 2015. Unaweza kumshauri kivingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.