Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Heee wewe ndo yupi hapo?...naona hii studio ilikuwa bab kubwa.
ahahahaha.......u luk so gud kaka and gogina alikua shy eeh?..nimependa viatu vyake..:tonguez:
naona ni enzi za mwalimu hizo, Tanzania hakuna mgodi wala nini, lakini elimu bree, matibabu bree, ni raha iliyoje, noja Slaa aje atukumbushe enzi
cmz mlikua mnapendana hadi mnavaa sare?au cha wote?...........mi ckuepo bwana.
sasa mbona kama mmefanya vice versa... bibi fuull ma shy kashika kiuno bwana umeshika mabega ulitakiwa ukamate kiuno mzee.... hahahahahahaha ila inaelekea ulikigundua kipaji chako papema... at that AGE.. tayari ushaanza kuangusha mojamoja na vibinti duh.
kuna post zilikuwa zimenikasirisha sana ... lakini hapa nakushukuru .. nimecheka sana. naona nende nikalale sasa.
Halafu huwezi jua tofauti, wote wanaonekana vidume - except hivyo viatu vya kike
sasa mbona kama mmefanya vice versa... bibi fuull ma shy kashika kiuno bwana umeshika mabega ulitakiwa ukamate kiuno mzee.... hahahahahahaha ila inaelekea ulikigundua kipaji chako papema... at that AGE.. tayari ushaanza kuangusha mojamoja na vibinti duh.
...Hizo ni zile enzi za yale mafuta ya manukato makali kabisa Ayu na Yolanda kwenye vimikebe vya bati. Ukijisiriba unang'aa kama jongoo!!! Wote hapo wewe na Jojina mnang'aa kwa Yolanda mkuu!!!reggers:Tulikuwa tunakaa Railway quarters...nguo zote duka la ushirika batiki...hapo ni Railways Club gerezani siku hizi sijui Paradise nini vile...