Mtafiti: IQ ya Mwafrika na mtu mweupe

Mtafiti: IQ ya Mwafrika na mtu mweupe

see u later

Woow umerudi wangu..!

Mie ninakubaliana na huyu mpuuzi Watson kwa kusema ukweli unaouma mchana kweupeee.. Haya mizungu mingine inajifanya kumpinga hadharani wakati mioyoni mwao wanafurahia kujitokeza kwa mpuuzi mmoja kusema kile ambacho kwa unafiki walio nao wanashindwa kukiri hadharani..
 
Huyo mpuuzi ni hater tu, alianza kuwatukana wanawake sasa kageukia weusi, hata yeye IQ yake ndogo sana mjinga huyo,,,!
 
Woow umerudi wangu..!

Mie ninakubaliana na huyu mpuuzi Watson kwa kusema ukweli unaouma mchana kweupeee.. Haya mizungu mingine inajifanya kumpinga hadharani wakati mioyoni mwao wanafurahia kujitokeza kwa mpuuzi mmoja kusema kile ambacho kwa unafiki walio nao wanashindwa kukiri hadharani..

kweli kabisa .. hawa watu nawachukia sana
 
Nakubaliana na huyu mtafiti na mara nyingi sana humu JF huwa nnaandika kuwa ujinga ni gene-imprint.

Huwa nnakumbusha humu humu mara kwa mara, ukiwa mjinga basi hata usome vipi kama ujinga unao basi unao tu.

Naomba ieleweke kuwa kwenye msafara wa mamba kenge hakosekani.

Tunao exceptional ones wachache ambao hawana huo ujinga na wenzetu huko wanao wajinga pia, especially hapo Uingereza ambapo utafiti unasema genetically Waingereza wako karibu zaidi na Waafrika.

Ni wewe wewe au mtu katumia ID yako.Anyway stay positive
 
Ni wewe wewe au mtu katumia ID yako.Anyway stay positive

Usilione Jiafrika limevaa koti la mtumba na tai na viatu swafi kabisa, linatembelea V8 ukadhani linaakili.

Hapo linafikiria fedha lililoiba likatangaze waapi ufalme limpigie na mwanamke yupi aende akazitumie.

Na wanawake hali kadhalika, tazama jinsi wanawake walivyowajinga, wao wako tayari hata kuharibu ngozi yao ya asili ili wajichubuwe na kuwa Wahindi si Wahindi, Wazungu si Wazungu, Waarabi si Waarabu, Machotara si Machotara ili mradi kuna jinga moja limewadanganya wamependeza na wanalichuna basi hao hata wakijichuna miili yao kwao sawa tu.

Ni ujinga dhahiri shahiri tena wa jadi kabisa.
 
This is very true, all those who object this theory are hypocrites... I think there a vivid an explanation to this be it education curriculum, the overall learning process, nutrition, and the total life style of a particular area...

watu wamekuwa wakichunga mbuzii na kulima tuu ndio ujuzi waliopewa na kurithishwa tangu enzi wanatumia nguvu zaidi kwenye kazi zao kuliko akili sasa aje umlinganishe na mzungu hawawezi kuwa sawa, mtu mweupe atazidi kwenye akili mweusi nguvu...
They use their brain to think while we use muscles!!!
 
Mnakumbuka ishu ya ebola ilivyo washusha hadhi waafrika. Mpaka mzungu alipoingilia kati na ugonjwa ukapoa. Sasa hapo utajidai una IQ kweli wewe.
 
Back
Top Bottom