Mtafiti: IQ ya Mwafrika na mtu mweupe

Mtafiti: IQ ya Mwafrika na mtu mweupe

Mfano mmoja wa ujinga na uduni wa akili ya Mwafrika...eti sheria zetu huandikwa kwa Kiingereza (lugha ya kigeni) na mahakama zetu za juu hutumia Kiingereza pia.

Hivi kwa nini iwe hivyo? Sheria zetu wenyewe kwa ajili yetu wenyewe, sasa kwa nini tutumie lugha ya wengine wakati nasi tunayo yetu tena nzuri tu?

Kama tunashindwa hata kutumia lugha yetu wenyewe kwenye mfumo wetu wa sheria hayo mengine yaliyo magumu zaidi ni ndoto kuyaweza.
 
Kama dunia iliweza kukubaliana na uvumbuzi wake juu ya dna kwa nini wakatae haya mawazo yake ya sasa? Wazungu wanatuzuga tu. Wanajua watson aweza kuwa sahihi ila katumia lugha kali. Mi nataka tu kabla hajafa waanze kumanufacture beauty ili watoto wote wa kike wawe hatari
 
Mimi hata siangalii waafrika yaani nikiangalia wale ndugu zetu wa Haiti kama mnaijua ilipo na wale ma aborigines ni weusi na akili zao wanazijua wenyewe yaani hakuna maendeleo kabisa kwa viumbe vyeusi ukiona mahali wako wengi basi ujue umaaskini, ujinga, maradhi, wizi violence na ngono zembe ndio mambo makuu tunayojua. But naona kuna some improvement kwenye hii new generation so tutawafikia wazungu may be 2 centuries to come.
 
ni kweli tupu. We rejea tu mikataba ya madini na vitu kama iptl, songas, escrow, epa, richmond na mgodi wa makaa ya mawe huko mbeya( kiwira ).

Rejea namna serikali yetu inavyoendeshwa, mauaji ya ndugu zetu albino, mauaji ya vikongwe na wenye macho mekundu. Rejea migogoro ya kidini na viongozi wa kidini wanavyo-ongeleshana maneno makali hadharani.

Rejea mimba za utotoni na watoto wadogo kulazimishwa kuolewa.

Rejea mitaala yetu ya elimu kama inaendana na mazingira tuliyopo. Rejea akili za vijana wa sasa kutaka utajiri bila kutoa jasho wala kushiriki kwenye kuijenga nchi.

Rejea maneno ya viongozi wetu, kama pale kaka mkubwa alipoulizwa kwanini tanzania ni maskini na akasema hajui. Wassira aliambiwa watu wa jimbo lako wanalalamika njaa hawana chakula, akasema " mimi si mungu, siwezi kuleta mvua".

Rejea aliyesema watanzania tuna wivu wa kike na yule aliyesema tutakula majani ili ndege ya rais inunuliwe.

Rejea jinsi watoto wa viongozi wanavyonyakua madaraka kirahisi. N.k.

Hayo ni machache tu wadau, lakini yanaonyesha kuafikiana na kauli kuwa tuna iq ndogo.

Mtu mwenye iq kubwa hawezi kuruhusu :

1. Uingizwaji nchini wa bidhaa feki toka china.

2. Raia wa kigeni kufanya shughuli ambazo zinaweza kufanywa na wazawa.

3. Wageni kumiliki 100% ya uwekezaji. Ilitakiwa wazawa 51% na wageni 49%

4. Kuingiza nchini complete set ya bidhaa mfano simu, kama simu inatoka china basi battery itoke tanzania. Gari likitoka japan basi vioo na matairi vitoke tanzania na kadhalika.

5. Wala rushwa na mafisadi kuendelea kutamba bila kuchukuliwa hatua kali. Hii ina direct impact kwa kizazi cha wanaokuwa sasa as wanaona sio lazima wafanye kazi ili wapate.

6. Vijana kumaliza masomo ya juu bila kujua watafanya kazi gani.

7. Kupeleka vijana jkt en mass bila kujua wakimaliza watafanya nini?

8. Mkulima baada ya miaka 54 ya uhuru kuendelea kuteseka kwa kutegemea mvua na jembe la mkono bila masoko madhubuti.

Na mambo mengine mengi.

Unajua kuna article nilisoma, nikipata link yake nitaiweka hapa. Kwenye article hiyo wanaongelea kuhusu kupunguza population ya dunia as muda unavyokwenda resources zilizopo hazitaweza kutosheleza watu.

Of course kwenye hiyo article waliongelea kuhusu kupunguza watu kila bara kwa vita, magonjwa na mass killings kama wanavyofanya isil.

Lakini walivyofika kwa upande wa bara la africa wakasema " tons of africans have to go as there is no way those people will be able to feed themselves by 2025"

sasa angalia ukame na kukauka kwa mazao dodoma na kilimanjaro then tafakari hiyo kauli.

# watu weusi tuna safari ndefu sana. Tatizo hatutaki kulowa tope ilihali tunafanya kazi kwenye mvua#
nimekupa like mkuu,point tupu.
 
ni kweli tupu. We rejea tu mikataba ya madini na vitu kama iptl, songas, escrow, epa, richmond na mgodi wa makaa ya mawe huko mbeya( kiwira ).

Rejea namna serikali yetu inavyoendeshwa, mauaji ya ndugu zetu albino, mauaji ya vikongwe na wenye macho mekundu. Rejea migogoro ya kidini na viongozi wa kidini wanavyo-ongeleshana maneno makali hadharani.

Rejea mimba za utotoni na watoto wadogo kulazimishwa kuolewa.

Rejea mitaala yetu ya elimu kama inaendana na mazingira tuliyopo. Rejea akili za vijana wa sasa kutaka utajiri bila kutoa jasho wala kushiriki kwenye kuijenga nchi.

Rejea maneno ya viongozi wetu, kama pale kaka mkubwa alipoulizwa kwanini tanzania ni maskini na akasema hajui. Wassira aliambiwa watu wa jimbo lako wanalalamika njaa hawana chakula, akasema " mimi si mungu, siwezi kuleta mvua".

Rejea aliyesema watanzania tuna wivu wa kike na yule aliyesema tutakula majani ili ndege ya rais inunuliwe.

Rejea jinsi watoto wa viongozi wanavyonyakua madaraka kirahisi. N.k.

Hayo ni machache tu wadau, lakini yanaonyesha kuafikiana na kauli kuwa tuna iq ndogo.

Mtu mwenye iq kubwa hawezi kuruhusu :

1. Uingizwaji nchini wa bidhaa feki toka china.

2. Raia wa kigeni kufanya shughuli ambazo zinaweza kufanywa na wazawa.

3. Wageni kumiliki 100% ya uwekezaji. Ilitakiwa wazawa 51% na wageni 49%

4. Kuingiza nchini complete set ya bidhaa mfano simu, kama simu inatoka china basi battery itoke tanzania. Gari likitoka japan basi vioo na matairi vitoke tanzania na kadhalika.

5. Wala rushwa na mafisadi kuendelea kutamba bila kuchukuliwa hatua kali. Hii ina direct impact kwa kizazi cha wanaokuwa sasa as wanaona sio lazima wafanye kazi ili wapate.

6. Vijana kumaliza masomo ya juu bila kujua watafanya kazi gani.

7. Kupeleka vijana jkt en mass bila kujua wakimaliza watafanya nini?

8. Mkulima baada ya miaka 54 ya uhuru kuendelea kuteseka kwa kutegemea mvua na jembe la mkono bila masoko madhubuti.

Na mambo mengine mengi.

Unajua kuna article nilisoma, nikipata link yake nitaiweka hapa. Kwenye article hiyo wanaongelea kuhusu kupunguza population ya dunia as muda unavyokwenda resources zilizopo hazitaweza kutosheleza watu.

Of course kwenye hiyo article waliongelea kuhusu kupunguza watu kila bara kwa vita, magonjwa na mass killings kama wanavyofanya isil.

Lakini walivyofika kwa upande wa bara la africa wakasema " tons of africans have to go as there is no way those people will be able to feed themselves by 2025"

sasa angalia ukame na kukauka kwa mazao dodoma na kilimanjaro then tafakari hiyo kauli.

# watu weusi tuna safari ndefu sana. Tatizo hatutaki kulowa tope ilihali tunafanya kazi kwenye mvua#
nimekupa like mkuu,point tupu.
 
Ni kweli tupu. We rejea tu mikataba ya madini na vitu kama IPTL, SONGAS, ESCROW, EPA, RICHMOND na Mgodi wa makaa ya mawe huko mbeya( Kiwira ).

Rejea namna serikali yetu inavyoendeshwa, mauaji ya ndugu zetu albino, mauaji ya vikongwe na wenye macho mekundu. Rejea migogoro ya kidini na viongozi wa kidini wanavyo-ongeleshana maneno makali hadharani.

Rejea mimba za utotoni na watoto wadogo kulazimishwa kuolewa.

Rejea mitaala yetu ya elimu kama inaendana na mazingira tuliyopo. Rejea akili za vijana wa sasa kutaka utajiri bila kutoa jasho wala kushiriki kwenye kuijenga nchi.

Rejea maneno ya viongozi wetu, kama pale kaka mkubwa alipoulizwa kwanini Tanzania ni maskini na akasema hajui. Wassira aliambiwa watu wa jimbo lako wanalalamika njaa hawana chakula, akasema " mimi si Mungu, siwezi kuleta mvua".

Rejea aliyesema Watanzania Tuna wivu wa kike na yule aliyesema tutakula majani ili ndege ya Rais inunuliwe.

Rejea jinsi watoto wa viongozi wanavyonyakua madaraka kirahisi. n.k.

Hayo ni machache tu wadau, lakini yanaonyesha kuafikiana na kauli kuwa tuna IQ ndogo.

Mtu mwenye IQ kubwa hawezi Kuruhusu :

1. Uingizwaji nchini wa bidhaa feki toka China.

2. Raia wa kigeni kufanya shughuli ambazo zinaweza kufanywa na wazawa.

3. Wageni kumiliki 100% ya uwekezaji. Ilitakiwa wazawa 51% na wageni 49%

4. Kuingiza nchini complete set ya bidhaa mfano simu, kama simu inatoka china basi battery itoke Tanzania. Gari likitoka Japan basi vioo na matairi vitoke Tanzania na kadhalika.

5. Wala rushwa na mafisadi kuendelea kutamba bila kuchukuliwa hatua kali. Hii ina direct impact kwa kizazi cha wanaokuwa sasa as wanaona sio lazima wafanye kazi ili wapate.

6. Vijana kumaliza masomo ya juu bila kujua watafanya kazi gani.

7. Kupeleka vijana JKT en mass bila kujua wakimaliza watafanya nini?

8. Mkulima baada ya miaka 54 ya uhuru kuendelea kuteseka kwa kutegemea mvua na jembe la mkono bila masoko madhubuti.

Na mambo mengine mengi.

Unajua kuna article nilisoma, nikipata link yake nitaiweka hapa. Kwenye article hiyo wanaongelea kuhusu kupunguza population ya dunia as muda unavyokwenda resources zilizopo hazitaweza kutosheleza watu.

Of course kwenye hiyo article waliongelea kuhusu kupunguza watu kila bara kwa vita, magonjwa na mass killings kama wanavyofanya ISIL.

Lakini walivyofika kwa upande wa bara la Africa wakasema " Tons of Africans have to go as there is no way those people will be able to feed themselves by 2025"

Sasa angalia ukame na kukauka kwa mazao Dodoma na Kilimanjaro then tafakari hiyo kauli.

# WATU WEUSI TUNA SAFARI NDEFU SANA. TATIZO HATUTAKI KULOWA TOPE ILIHALI TUNAFANYA KAZI KWENYE MVUA#

mkuu,safi good comment.
 
We admire him for his discovery of DNA to be a double helix structure. But for his idea that Africans are less intelligent than whites is quite inhumanity. I suggest him to revise his argument, otherwise he might violate his status.
 
i doubt his credibility as a scientist on that. cant agree but wont disagree as well.
 
Kaongea ukweli kabisaa,mimba au kujifungua kwa wenzetu sio ugonjwa wa kumpoteza mtu uhai hapa kwetu na kwingineko ni tatizo? Maralia inaua kila siku dawa ya kutokomeza mbu haitengenezwi kuua ktk madimbwi nje ya nyumba ssa sisi mbu ziingie tuziue ndani? miradi ya tafiti fedha zinatoka nje matatizo ya kwetu? Unasema nn au mnakariri tuu.iq kubwa ni kipimo cha jinsi gani umeweza kutatua matatizo yako kwa ujumla kama magonjwa,road,usafiri,shule na si kukariri theory za kina newtons law au frank wood.
 
  • Thanks
Reactions: rr3
Nakubaliana na huyu mtafiti na mara nyingi sana humu JF huwa nnaandika kuwa ujinga ni gene-imprint.

Huwa nnakumbusha humu humu mara kwa mara, ukiwa mjinga basi hata usome vipi kama ujinga unao basi unao tu.

Naomba ieleweke kuwa kwenye msafara wa mamba kenge hakosekani.

Tunao exceptional ones wachache ambao hawana huo ujinga na wenzetu huko wanao wajinga pia, especially hapo Uingereza ambapo utafiti unasema genetically Waingereza wako karibu zaidi na Waafrika.

Kubaliana naye na uchukue hatua.
Sio unakubaliana na kubakia na uzuzu wako
 
Usilione Jiafrika limevaa koti la mtumba na tai na viatu swafi kabisa, linatembelea V8 ukadhani linaakili.

Hapo linafikiria fedha lililoiba likatangaze waapi ufalme limpigie na mwanamke yupi aende akazitumie.

Na wanawake hali kadhalika, tazama jinsi wanawake walivyowajinga, wao wako tayari hata kuharibu ngozi yao ya asili ili wajichubuwe na kuwa Wahindi si Wahindi, Wazungu si Wazungu, Waarabi si Waarabu, Machotara si Machotara ili mradi kuna jinga moja limewadanganya wamependeza na wanalichuna basi hao hata wakijichuna miili yao kwao sawa tu.

Ni ujinga dhahiri shahiri tena wa jadi kabisa.
Lmfao...you have such a good sense of humor.
 
U can't compare white IQ with blacks, white are so far away from black, they have got high IQ.
 
Ukitaka kujuwa kuwa Waafrika walio wengi ni kweli wajinga tazama wanapokuwa na Mzungu.

Wanakuwa kama mbwa aliyeona chatu. Hawana ujanja kabisa.
Ni kweli kabisa nakubaliana na wewe pamoja na mtafiti moja kwa moja. Asilimia ya kubwa ya waafrika/mtu mweusi upeo wake ni mdogo sana, hawawezi hata ku tizama vizazi vijavyo na maisha yajao, yaani kuanzia kwenye familia mpaka ngazi ya viongozi, watu wanaangalia kujilimbikizia na kutengeneza maisha ya leo, bila kuweka mazingira yatakayowezesha vizazi na vizazi kuweza kuwa kuishi katika mazingira yaliyotengenezwa tangu enzi za mababu, matokeo yake ni kujazana ujinga, elimu kuporomoka badala ya kukua, yaani ni worse kila kukicha. Tizama yanayotokea South Africa ni alama tosha pia kujua IQ ya mtu mweusi ilivyo.
 
Mi nafikiri hili suala linaendana zaidi na mtu na mtu, maana hata wazungu wapo mbumbumbu wengi tu
 
Kubaliana naye na uchukue hatua.
Sio unakubaliana na kubakia na uzuzu wako

Anayoyasema leo huyu mtafiti mimi nnayafundisha kila siku humu JF, lakini mijitu kama wewe uliyezaliwa na genes za ujinga kunielewa ni vigumu sana.
 
Haya mambo ni skuhizi 2 mbona zamani babu zetu walikuwa hawana habari nao walikuwa washajua nn lengo lao walikuwa bora kufa kuliko kwenda ulaya ss wap tumekosea
 
Wewe mwenyewe inaonekana una akili duni sana
Nakubaliana na huyu mtafiti na mara nyingi sana humu JF huwa nnaandika kuwa ujinga ni gene-imprint.

Huwa nnakumbusha humu humu mara kwa mara, ukiwa mjinga basi hata usome vipi kama ujinga unao basi unao tu.

Naomba ieleweke kuwa kwenye msafara wa mamba kenge hakosekani.

Tunao exceptional ones wachache ambao hawana huo ujinga na wenzetu huko wanao wajinga pia, especially hapo Uingereza ambapo utafiti unasema genetically Waingereza wako karibu zaidi na Waafrika.
 
Back
Top Bottom