Smartkahn
JF-Expert Member
- Jun 22, 2020
- 889
- 1,490
Kutatokea muwindano wa kutoana uhai(VITA) kwa viongozi waandamizi katika mfumo wa uongozi.
Kiongozi mmoja atakua au alikua anamuwinda mtu kutoka katika kundi dhaifu, alipomsogelea karibu... yule kiongozi mwenye nguvu pasipo kutarajiwa alihamaki kuona akishikiwa siraha yenye nguvu(bunduki) punde si punde zilifyatuliwa risasi mbili, mpigaji aligundua risasi zimeisha alipotaka kufyatua ya tatu.
Sijui nini kilimkuta yule kiongozi mwenye nguvu baada ya kufyatuliwa zile risasi mbili... Lakini nilichoshuhudia baada ya pale ni mtafaruko wa watu wakiwa na furaha na wakaanza kuondoka ni kama wanaandamana wakiwa na furaha shangwe na bashasha nyusoni mwao.
Faraja iwe nasi.
Kiongozi mmoja atakua au alikua anamuwinda mtu kutoka katika kundi dhaifu, alipomsogelea karibu... yule kiongozi mwenye nguvu pasipo kutarajiwa alihamaki kuona akishikiwa siraha yenye nguvu(bunduki) punde si punde zilifyatuliwa risasi mbili, mpigaji aligundua risasi zimeisha alipotaka kufyatua ya tatu.
Sijui nini kilimkuta yule kiongozi mwenye nguvu baada ya kufyatuliwa zile risasi mbili... Lakini nilichoshuhudia baada ya pale ni mtafaruko wa watu wakiwa na furaha na wakaanza kuondoka ni kama wanaandamana wakiwa na furaha shangwe na bashasha nyusoni mwao.
Faraja iwe nasi.