Mtaani Kwetu: Massage Parlours in Dar es Salaam

Mtaani Kwetu: Massage Parlours in Dar es Salaam

Unaambiwa eti usaule kila kitu, then unapewa taulo lao uvae.
Wakati wa shughuli ya kukandwa mwili, mara ya kwanza mikono inaishia kitovuni,
akiona hujastuka akirudi tena anaishia kiunoni,
akiona hakuna negative respond kutoka kwako basi akirudi tena anaishia ambapo nywele nyingi zimeota,
kama utaendelea kukaa kimya basi safari hii anaishia chini zaidi na kuigusa "rocket ranger" yako,
na kama wewe umelainika basi hapo kwenye ranger, ndani taulo lazima patakua pameinuka kwa muinuko mkubwa mno,
haya yote anayafanya huku akiwa kafungulia sauti lainiiii ya radio na yeye akichombeza kwa sauti yake ya mahaba, taa zinawashwa zile za rangi tu na yeye anakua kavaa kiuchokozi.
Yaani kama ukitaka kujipima wewe ni mgumu kiasi gani, humaindishi mademu na ni mcha mungu basi nenda kwenye hizi parlour then ukiweza kutoka mzima basi wewe kweli umefuzu.

Asante
 
Unaambiwa eti usaule kila kitu, then unapewa taulo lao uvae.
Wakati wa shughuli ya kukandwa mwili, mara ya kwanza mikono inaishia kitovuni,
akiona hujastuka akirudi tena anaishia kiunoni,
akiona hakuna negative respond kutoka kwako basi akirudi tena anaishia ambapo nywele nyingi zimeota,
kama utaendelea kukaa kimya basi safari hii anaishia chini zaidi na kuigusa "rocket ranger" yako,
na kama wewe umelainika basi hapo kwenye ranger, ndani taulo lazima patakua pameinuka kwa muinuko mkubwa mno,
haya yote anayafanya huku akiwa kafungulia sauti lainiiii ya radio na yeye akichombeza kwa sauti yake ya mahaba, taa zinawashwa zile za rangi tu na yeye anakua kavaa kiuchokozi.
Yaani kama ukitaka kujipima wewe ni mgumu kiasi gani, humaindishi mademu na ni mcha mungu basi nenda kwenye hizi parlour then ukiweza kutoka mzima basi wewe kweli umefuzu.
hutu tu hela twa kiinua mgongo nitabaki natwo kwa starehe hizi
 
soft touch- near Makumbusho, 20K-80K 3some + massage depending on ur choice, wicked girls 7 - 8.7 on hotmeter. Nawasilisha

kwa lugha nyepesi unamaanisha nini. wicked girls 7-8.7 hotplate etc.
fafanua nikaonje. hii itakua xmas yangu
 
Masaj nzuri kwa wagonjwa,kwa wazembe, wazee lakin kijana damu inachemka unafanyiwa masaji duu basu mpenzi wako akufanyiee
Mim mpenz wangu marufuku hiyo biashara nimfanyie mie tu nikigundua tunaachana kuiga upunbavu tuu

We co mtaalamu na hiyo in fani ya watu
 
Unaambiwa eti usaule kila kitu, then unapewa taulo lao uvae.
Wakati wa shughuli ya kukandwa mwili, mara ya kwanza mikono inaishia kitovuni,
akiona hujastuka akirudi tena anaishia kiunoni,
akiona hakuna negative respond kutoka kwako basi akirudi tena anaishia ambapo nywele nyingi zimeota,
kama utaendelea kukaa kimya basi safari hii anaishia chini zaidi na kuigusa "rocket ranger" yako,
na kama wewe umelainika basi hapo kwenye ranger, ndani taulo lazima patakua pameinuka kwa muinuko mkubwa mno,
haya yote anayafanya huku akiwa kafungulia sauti lainiiii ya radio na yeye akichombeza kwa sauti yake ya mahaba, taa zinawashwa zile za rangi tu na yeye anakua kavaa kiuchokozi.
Yaani kama ukitaka kujipima wewe ni mgumu kiasi gani, humaindishi mademu na ni mcha mungu basi nenda kwenye hizi parlour then ukiweza kutoka mzima basi wewe kweli umefuzu.

Khàaaaaa... Kama ndio hivyo wala sijaribu!
 
Here is a true Story About Massage Parlours.

Jamaangu aliendaga Moja Huko Maeneo ya Tabata, huduma aliyopatiwa haijatofautiana na hiyo ya Mtoa Mada alivyoisimulia.

Yeye alienda kwenye hiyo Massage Centre kwa ajili ya kupata huduma ya Massage kutokana Uchovu anaopata akiwa kazini.
Baada shughuli ya shughuli kuanza, Mwisho wa siku/kazi, akawa amezidiwa na Mihemko/Uvumilivu, akaomba kama anaweza kupatiwa huduma nyingine kwa gharama na makubaliano stahiki.

Hapo ndipo alipogundua kuwa kuna baadhi ya wanawake wenye msimamo na kinachowapelekea kufanya kazi kama hizo ni kutokana ukosefu wa ajira na ili pia aweze kuendesha Maisha.

Yule dada Mtoa huduma ya MaSsage alimkatalia kumpa huduma ya kipozea mwili(Mgegedo), namnukuu "Ingelikuwa wateja wetu wote tunawafanyia hivyo unavyotaka tungelikuwepo hadi hii leo na haya Magonjwa kweli!?"

Alipojaribu kumdadisi yule Demu kumbe alikuwa na Diploma ya Maendeleo ya Jamii lakini hajabahatika kuajiriwa.
Alikuwa akiishi na Wadogo zake wawili huku wakimtegemea.

Demu akamwambia hapa labda kwa kukusaidia kama wenzako waliotangulia na waliokuwa sio wavumilivu wa mehemko kama ww, labda nikupigishe Ny*to. Jamaa akakubali Offer ya yule Demu Mchezo ukaishia Pale.

Ila anakuambia kuwa Pale hata Uwe Padri huchomoki. Kwani Shughuli ikiwa inaendelea, anakuwa amekukalia Mgongoni huku akiwa na Skin-tight na braa. Kwa hiyo Maungo yake unayaona Sawili/waziwazi.

Duniani hapa Majaribu haya, Ndio Maana Ukimwi hautoisha.

Ila nampongeza huyu Demu kwa Msimamo kwani anajitambua. Inaelekea akiwezeshwa huyu Dada anaweza kuja kuandaika Historia ya Maisha aliyopitia.
 
katika baraza la mawaziri kuna mmoja kibabu sana anahusudu sana haya mambo. mkoa wake unaanzia n M
 
Hizi massage parlours zinasambaza ukimwi tuu. Maadili ya jamii tunaharibu. Tanzania siyo Thailand, utalii wa ngono si maadili yetu.
 
Namba na direction ni muhimu mkuu.

radelicious iko shekilango road, somewhere around sinza makaburini au palestina, Sina hakika... napitaga kwa napitaga kwa nje tu, msianze mambo yenu hapa
 
Here is a true Story About Massage Parlours.

Jamaangu aliendaga Moja Huko Maeneo ya Tabata, huduma aliyopatiwa haijatofautiana na hiyo ya Mtoa Mada alivyoisimulia.

Yeye alienda kwenye hiyo Massage Centre kwa ajili ya kupata huduma ya Massage kutokana Uchovu anaopata akiwa kazini.
Baada shughuli ya shughuli kuanza, Mwisho wa siku/kazi, akawa amezidiwa na Mihemko/Uvumilivu, akaomba kama anaweza kupatiwa huduma nyingine kwa gharama na makubaliano stahiki.

Hapo ndipo alipogundua kuwa kuna baadhi ya wanawake wenye msimamo na kinachowapelekea kufanya kazi kama hizo ni kutokana ukosefu wa ajira na ili pia aweze kuendesha Maisha.

Yule dada Mtoa huduma ya MaSsage alimkatalia kumpa huduma ya kipozea mwili(Mgegedo), namnukuu "Ingelikuwa wateja wetu wote tunawafanyia hivyo unavyotaka tungelikuwepo hadi hii leo na haya Magonjwa kweli!?"

Alipojaribu kumdadisi yule Demu kumbe alikuwa na Diploma ya Maendeleo ya Jamii lakini hajabahatika kuajiriwa.
Alikuwa akiishi na Wadogo zake wawili huku wakimtegemea.

Demu akamwambia hapa labda kwa kukusaidia kama wenzako waliotangulia na waliokuwa sio wavumilivu wa mehemko kama ww, labda nikupigishe Ny*to. Jamaa akakubali Offer ya yule Demu Mchezo ukaishia Pale.

Ila anakuambia kuwa Pale hata Uwe Padri huchomoki. Kwani Shughuli ikiwa inaendelea, anakuwa amekukalia Mgongoni huku akiwa na Skin-tight na braa. Kwa hiyo Maungo yake unayaona Sawili/waziwazi.

Duniani hapa Majaribu haya, Ndio Maana Ukimwi hautoisha.

Ila nampongeza huyu Demu kwa Msimamo kwani anajitambua. Inaelekea akiwezeshwa huyu Dada anaweza kuja kuandaika Historia ya Maisha aliyopitia.

Pale tabata bima nini? uwa naiona sijawahi sogelea!
 
Here is a true Story About Massage Parlours.

Jamaangu aliendaga Moja Huko Maeneo ya Tabata, huduma aliyopatiwa haijatofautiana na hiyo ya Mtoa Mada alivyoisimulia.

Yeye alienda kwenye hiyo Massage Centre kwa ajili ya kupata huduma ya Massage kutokana Uchovu anaopata akiwa kazini.
Baada shughuli ya shughuli kuanza, Mwisho wa siku/kazi, akawa amezidiwa na Mihemko/Uvumilivu, akaomba kama anaweza kupatiwa huduma nyingine kwa gharama na makubaliano stahiki.

Hapo ndipo alipogundua kuwa kuna baadhi ya wanawake wenye msimamo na kinachowapelekea kufanya kazi kama hizo ni kutokana ukosefu wa ajira na ili pia aweze kuendesha Maisha.

Yule dada Mtoa huduma ya MaSsage alimkatalia kumpa huduma ya kipozea mwili(Mgegedo), namnukuu "Ingelikuwa wateja wetu wote tunawafanyia hivyo unavyotaka tungelikuwepo hadi hii leo na haya Magonjwa kweli!?"

Alipojaribu kumdadisi yule Demu kumbe alikuwa na Diploma ya Maendeleo ya Jamii lakini hajabahatika kuajiriwa.
Alikuwa akiishi na Wadogo zake wawili huku wakimtegemea.

Demu akamwambia hapa labda kwa kukusaidia kama wenzako waliotangulia na waliokuwa sio wavumilivu wa mehemko kama ww, labda nikupigishe Ny*to. Jamaa akakubali Offer ya yule Demu Mchezo ukaishia Pale.

Ila anakuambia kuwa Pale hata Uwe Padri huchomoki. Kwani Shughuli ikiwa inaendelea, anakuwa amekukalia Mgongoni huku akiwa na Skin-tight na braa. Kwa hiyo Maungo yake unayaona Sawili/waziwazi.

Duniani hapa Majaribu haya, Ndio Maana Ukimwi hautoisha.

Ila nampongeza huyu Demu kwa Msimamo kwani anajitambua. Inaelekea akiwezeshwa huyu Dada anaweza kuja kuandaika Historia ya Maisha aliyopitia.
e
Eee wewe kweli ni mgeni mjini hapa,hakuna cha diploma wala nini hao wote ni wezi watupu sana,wapo pale kikazi..inaonekana jamaa yako alitangaza dau lenye kiwango cha kupigishwa punyeto.Hakuna demu aliye massage parlour asiyeuza papuchi mkuu wote wauzaji,hiyo ni gear ya kujidai wao si wauzaji...hata ukienda Ambiance hata bitches toka uswazi wanajinadi kama wanafunzi wa chuo,ili tu uwaone wako juu na upapatike...sasa uliza upo Udsm fuculty gani??utasikia anajibu Mabibo Hostel,ukimuuliza Advance ulisoma masomo gani?utasikia KLM i.e Kiswahili, Language na Mathematics...wezi watupu,wote wauza papuchi.
 
Hivi hizo massage ndo mdudu gani? Kuiga kazi. Ikiwa mteja anaenda akiwa na shauku ya ngono, na kama anayehudumia amevaa kingono ngono, basi, hiyo tayarini ridhaa ya ngono hata kama hawatafanya physically, dhamira zao zimefanya.
 
barafu umenichekesha sana! KLM tena? Kiswahili,Language and Mathematics!!!

Faculty ni mabibo hostel!!! hahahahaha!!!

Merry Xmass!!!!!!;
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom