Hivi wewe mhariri wa gazeti la udaku mbona umepotea? Manake nna kaugonjwa kama ka wema sepetu ka kupenda media. Nilikuambia nimeacha bhange umenipotezea. Are we still friends? Wasalimie Oldonyo, uniletee vumbi.
aisee ni kweli kabisa. Max mtu Bana..
ile bado tuli. Mpaka pale TB Joshua atakapotabiri otherwise. Lol
Afu najichagua balozi wa mtaa huu, nisuluhisha kesi za ODM kamwibia Bishanga mwanamke, konnie ampiga Rejao ngumi ya macho.
In case ukifufua gazeti la udaku nibip kwa Like nina Breaking News nyingi sana.
lolz, jamaa ana fani zote yule.. Tuombe Mungu mlima ushindwe, manake....!
nasikia harufu ya rushwa kwa huyu balozi wa kujiteua.........
Afu najichagua balozi wa mtaa huu, nisuluhisha kesi za ODM kamwibia Bishanga mwanamke, konnie ampiga Rejao ngumi ya macho.
In case ukifufua gazeti la udaku nibip kwa Like nina Breaking News nyingi sana.
Pia Maziwa mgando yamepotea Jf hatusaplaiwi tulishaanza kuyazoea!
Afu najichagua balozi wa mtaa huu, nisuluhisha kesi za ODM kamwibia Bishanga mwanamke, konnie ampiga Rejao ngumi ya macho.
In case ukifufua gazeti la udaku nibip kwa Like nina Breaking News nyingi sana.