Dr nasbr msaada wako katk hili tatizo languDR nmi nina tatizo la nyonga zote ila zaid upande wakushoto nimesumbuliwa na tatizo tango mwaka 2011,
tatizo lilianza mara baada ya kupewa dawa aina ya doxaxlyne kutokana na tatizo la maumivu makali ya tumbo pindi niwapo period,
dawa niliambiwa nimeze 2x2 kwa cku nilipofika cku kama ya tatu hiv nyonga ya kushoto iliuma sana hadi nikawa cwezi kujigeuza kitandani wala kutembea bila msaaadaaa
nikaacha dawa zile nikaanza kutafta tiba ya nyonga ...
nimetumia dawa nyingiii na tofauti za hosptl na kienyeji napata nafuu ya muda mfupi tu then tatizo linarud
mwaka jana mwishoni tatizo lilianza tena maumivu yakawa makali kama ya mwazn ikabd niende tena kwa dr wa mifupa. nikapigwa x-rays na kuambiwa nina shida kwenye uti wa mgongo yaan upo very straight badala ya kubend na shingo vlevle imenyooka niliana matibabu kwa kutumia dawa kadhaa kama vile; pligabline,neurobin, flux... n.k 9samahan kwa kuandika dawa kimakosa c unajua fan za watu) na mazoezi juu, dawa nilianza kutumia tarh 4/1/2017 mpaka 3/2/2017 maana nyingi ni za cku 30.
ila baada ya hapo tatizo kama bado linajirudia maana kuna muda nahic maumivu makali
msaaada wako dr plz nifanyeje au nitumie dawwa gani ili nipone kabisaa? na je naweza kupata mtoto(kushka ujauzito) kwa tatizo nililonalo
DR nmi nina tatizo la nyonga zote ila zaid upande wakushoto nimesumbuliwa na tatizo tango mwaka 2011,
tatizo lilianza mara baada ya kupewa dawa aina ya doxaxlyne kutokana na tatizo la maumivu makali ya tumbo pindi niwapo period,
dawa niliambiwa nimeze 2x2 kwa cku nilipofika cku kama ya tatu hiv nyonga ya kushoto iliuma sana hadi nikawa cwezi kujigeuza kitandani wala kutembea bila msaaadaaa
nikaacha dawa zile nikaanza kutafta tiba ya nyonga ...
nimetumia dawa nyingiii na tofauti za hosptl na kienyeji napata nafuu ya muda mfupi tu then tatizo linarud
mwaka jana mwishoni tatizo lilianza tena maumivu yakawa makali kama ya mwazn ikabd niende tena kwa dr wa mifupa. nikapigwa x-rays na kuambiwa nina shida kwenye uti wa mgongo yaan upo very straight badala ya kubend na shingo vlevle imenyooka niliana matibabu kwa kutumia dawa kadhaa kama vile; pligabline,neurobin, flux... n.k 9samahan kwa kuandika dawa kimakosa c unajua fan za watu) na mazoezi juu, dawa nilianza kutumia tarh 4/1/2017 mpaka 3/2/2017 maana nyingi ni za cku 30.
ila baada ya hapo tatizo kama bado linajirudia maana kuna muda nahic maumivu makali
msaaada wako dr plz nifanyeje au nitumie dawwa gani ili nipone kabisaa? na je naweza kupata mtoto(kushka ujauzito) kwa tatizo nililonalo
Dawa ya tb ni ya aina moja ukienda kwenye vituo vya wanakupa mimi nilikuwa na tatizo ya tb ya matezi naendelea kutumia dawaDoctor, naomba kujua dawa inayotibu TB ya Matezi na TB ya Mapafu ni tofauti?