Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Dr naomba msaada mtoto wa miezi tisa kukataa kunyonya na uji pia anakataa amelekwa hospitali amefanyiwa vipimo hana tatizo lolote.
 
mimi ni nkijana mwenye umri wa miaka 31, nimeoa na kwa sasa tunazaidi ya mwaka mmoja katika ndoa yetu, ila nimekuwa natatizo ambalo limekuwa likinisumbua kwa mda sasa,
kila nikishafanya tendo la ndoa na mke wangu, yale maji maji yake huwa yananiwasha, na kupelekea kujikuna lakini hata nikioga baada ya muda ile hali huweza kujirudia na kuanza kuwashwa tena. kuna kipindi nimekuwa nikiyumia dawa za tube za kupaka lakini hakuna tofauti yoyote iliyopatikana.
pia mke wangu amekuwa na tatizo la kutokushika mimba ingawa tulisha enda hospitali wate wawili kwa mara kadhaa nakuonekana hatuna tatizo lolote lile.

Huku ukimsubiri dokta akujibu naomba mwende wote hospitali mkapime fungus na U.t.I
 
docter mm nasmbuliwa na h.phylor nlpm dam nikaambiw ninao walnpt helgokot lkn haiknsaidia na tomb lnwk moto na ges infk had kifuan nifanyeje docter
 
Habarini za kazi,
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 31 kwa sasa, ninatatizo linalonisumbua sana hadi nakosa raha kabisa, nilienda pharmacy nikapewa dawa ya kusukutua na nyingine kama mafuta naweka mdomoni inakaa wa mda kama dakika mbili, nili itumia kwa mda lakini tatizo bado liko pale pale, yaani napata shida sana.

Naomba msaada wenu jamani.
 
Dr. mwanangu ana miezi 3 mvua ikitanda Kama inataka nyesha au ikinyesha tumbo linaunguruma afu analia Sana afu tumbo linakua linaunguruma nn tatzo
 
Doctor..
Tatizo la kuwa na acid nyingi ukeni ,inaua sperms na kusababisha mwanamke kuto pata mimba.
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









Ninasumbukiwa na ugonjwa was ngozi kwa jina ..PITYRIASIS RUBRA POLARISED.
Je unaufahamu ugonjwa huu?
Nini tiba yake?
 
Kichwa cha uume kinawasha na mda mwingine kinakuwa na maumivu halafu mkojo wa Mara kwa Mara cjui tatizo nn?.
 
Dr naomba kupata ushauri kuhusu fungus zinanisumbua sana,fungus zipo maeneo ya kwenye makende,nimetumia dawa za hospital nyingi sana na za tube lkn sijaona tofauti
 
Dr. Mimi mgongo wangu huwa unaniuma kama nikikaa sehemu kwa muda bila kukaa sehemu ya kujiegemeza, pia kama nafua nisipotumia kiti Basi mgongo unakuwa na maumivu, au nikiinama kwa muda mrefu.

Maumivu sio makali sana ila sifurahii hii hali

Jinsia ni ME na umri ni 28

Shukrani.....
 
Miguu kufaa ganzi mikono na shingo mini tatizo na tiba take nimetumia neural support vidonge na sindano za vitamin I b complex lakini wapi
.
 
Habarini za kazi,
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 31 kwa sasa, ninatatizo linalonisumbua sana hadi nakosa raha kabisa, nilienda pharmacy nikapewa dawa ya kusukutua na nyingine kama mafuta naweka mdomoni inakaa wa mda kama dakika mbili, nili itumia kwa mda lakini tatizo bado liko pale pale, yaani napata shida sana.

Naomba msaada wenu jamani.
Hujaeleza tatizo bado!!
 
Dr. mwanangu ana miezi 3 mvua ikitanda Kama inataka nyesha au ikinyesha tumbo linaunguruma afu analia Sana afu tumbo linakua linaunguruma nn tatzo
Zaid ya maziwa ya mama kuna chakula kingine unachompatia?

Vp akiwa Analia,je tumbo linavimba au kuwa gumu ?

Kuhusu choo VP, anapata vizur? kula je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom