mimi ni nkijana mwenye umri wa miaka 31, nimeoa na kwa sasa tunazaidi ya mwaka mmoja katika ndoa yetu, ila nimekuwa natatizo ambalo limekuwa likinisumbua kwa mda sasa,
kila nikishafanya tendo la ndoa na mke wangu, yale maji maji yake huwa yananiwasha, na kupelekea kujikuna lakini hata nikioga baada ya muda ile hali huweza kujirudia na kuanza kuwashwa tena. kuna kipindi nimekuwa nikiyumia dawa za tube za kupaka lakini hakuna tofauti yoyote iliyopatikana.
pia mke wangu amekuwa na tatizo la kutokushika mimba ingawa tulisha enda hospitali wate wawili kwa mara kadhaa nakuonekana hatuna tatizo lolote lile.
Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
View attachment 361607
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
Usifiche maradhi jimwage hapahapa kamandaDk mi hunijibu pm
VP kuhusu kutokula baadhi ya vyakula ulielezwa?docter mm nasmbuliwa na h.phylor nlpm dam nikaambiw ninao walnpt helgokot lkn haiknsaidia na tomb lnwk moto na ges infk had kifuan nifanyeje docter
Fungus za wap?doctor naomba kujua dawa ya fangas
Hujaeleza tatizo bado!!Habarini za kazi,
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 31 kwa sasa, ninatatizo linalonisumbua sana hadi nakosa raha kabisa, nilienda pharmacy nikapewa dawa ya kusukutua na nyingine kama mafuta naweka mdomoni inakaa wa mda kama dakika mbili, nili itumia kwa mda lakini tatizo bado liko pale pale, yaani napata shida sana.
Naomba msaada wenu jamani.
Zaid ya maziwa ya mama kuna chakula kingine unachompatia?Dr. mwanangu ana miezi 3 mvua ikitanda Kama inataka nyesha au ikinyesha tumbo linaunguruma afu analia Sana afu tumbo linakua linaunguruma nn tatzo