Meja mstaafu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 533
- 1,124
Hongera. Nyie watu wa SUA Mimi nawakubali sana.
Si ndio unga huu au?Ila Coca au poppy hazikubali huku niliagiza zangu kutoka Afghanistan ziligoma kukuwa kabisa licha ya kuziotesha kwenye Green house yenye hali ya hewa kama ya Afghanistan!!
View attachment 658282
Ila za jamii hii hapa chini zinakubali labda umtafutie hizoView attachment 658283
Ila Mtalaam wa kilimo ukizipata na mimi unijulishe nina hitaji mbegu kilo angalau 100KG kwa kuanzia itapendeza!!
ukizipata usisite kunijulisha tafadhli jina langu ni hilo hilo fundi nina patikana central !!
Mtaalam wa kilimo amesema anaweza pata mbegu zake!!!Si ndio unga huu au?
Hongera sana , karibu mtaani , jitafute 0763347985 nikupe kaziNaitwa FINIAS FIDELIS
Ni mhitimu wa shahada ya Agronomia ( taaluma ya udongo na vipando/mimea ) kutoka chuo kikuu cha SUA mwaka 2017 kwa performance ya upper second class( Very good) .
Miongoni mwa maeneo ya kitaalam nayo-fiti ni pamoja na : matumizi ya mbolea na pembejeo nyinginezo za kilimo, sayansi ya mimea, matunzo ya shamba (kuanzia kupanda mpaka kuvuna), upimaji wa rutuba ya udongo ( maabara au shambani kwa kuangalia viashiria vya rutuba) na kutoa tathmini juu ya uzalishaji na matumizi ya udongo na maji, ubora wa mbegu na mengineyo katika kilimo cha mazao .
Kwa sasa hivi nipo Chalinze ninafanya consultancy ( ushauri) kwa wakulima nikiitwa. Natafuta wakulima wanaotaka ushauri wa kitaalam, usimamizi wa mashamba na watu wa projects ( wanaotaka kuandaliwa projects and business plans), makampuni na NGOs za kilimo nazoweza kufanya nazo kazi. Pia kuna miradi ya kilimo nimeandaa natafuta udadhili au kuelekezwa jinsi ya kuupata.
Nipo Pwani ila nitaweza kukufikia popote ulipo ( nauli ya kwenda na kurudi itakuwa yako).
Nafanya haya kwa bei ya maelewano
Contacts zangu :
Simu: 0758479731/ 0625758571
Email : finiasfidelis@gmail.com
Karibuni
Mkuu ukitaka kulima nltuwasiliane nkuuzie miche ya Papai ya kisasaWangapi uku wanalima Papai mkoa wa Pwani.. Nampango wa kulima heka 3 ful papai maeneo ya bupu mkuranga. Vip udongo ni sahihi kws papai??
Embu picha za mipapai yako ikiwa imezaa nioneMkuu ukitaka kulima nltuwasiliane nkuuzie miche ya Papai ya kisasa
Sent from my U972 using JamiiForums mobile app
ndo mbegu za zao gani hzo coca??Ila Coca au poppy hazikubali huku niliagiza zangu kutoka Afghanistan ziligoma kukuwa kabisa licha ya kuziotesha kwenye Green house yenye hali ya hewa kama ya Afghanistan!!
View attachment 658282
Ila za jamii hii hapa chini zinakubali labda umtafutie hizoView attachment 658283
Ila Mtalaam wa kilimo ukizipata na mimi unijulishe nina hitaji mbegu kilo angalau 100KG kwa kuanzia itapendeza!!
ukizipata usisite kunijulisha tafadhli jina langu ni hilo hilo fundi nina patikana central !!
Ninazo njooMkuu unaweza kua na mbegu za mmea Coca au poppy!?!?
Nakupataje mkuu?Ninazo njoo