Mtaalam asema Watanzania tujiandae kwa Msiba mzito muda wowote Daraja la Mto Wami

24.jpg

Daraja la Wami Chalinze Segera km litaharibika lipo lingine la kupitia Kijiji cha Mabdera lililojengwa na JWTZ
02+Wami+Bridge+Saadani+National+Park+Bagamoyo.JPG


Kama njia zote hizi zitakosekana basi ni kupitia Morogoro Dumila Turiani Tanga, bado Tanzania ina Network kubwa ya barabara
Bado mwaka huu 2017 serikali imetenga
Bilioni 3/- kupanua daraja mto Wami



Sehemu ya daraja la mto Wami

SERIKALI imetenga Sh bilioni tatu katika mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kuanza upanuzi wa daraja la mto Wami.
Kauli hiyo imetolewa bungeni na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Edwin Ngonyani wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Mgeni Jadi Kadika(CUF) aliyetaka kujua lini serikali itapanua daraja hilo.
Nganyani alisema Serikali inatekeleza mpango huo kwa sababu inatambua kuwa daraja la Wami katika barabara ya Chalinze- Segera ni kiungo muhimu kati ya Dar es Salaam, pwani, Morogoro na mkoa ya kaskazini mwa Tanzania.
Daraja ni zima kasoro ni jembamba
upload_2017-2-19_16-26-44.jpeg


upload_2017-2-19_16-27-19.jpeg

upload_2017-2-19_16-28-0.jpeg

images

Mamba hakuna ni woga tu
images

hata hivyo ashukuriwe GENTARMYCINE kwa kukumbushia huenda Project za viwanja vikasimama kwanza
Bilioni 3/- kupanua daraja mto Wami
 
Chato kwanza huko kwingine baadaye. CCM oyee! Upole wa Watanzania oyee! Udumu uoga wa Watanzania.
Nadhani serikali imeshaliona/imesikia hilo, baada ya huu Uzi. Ni vizuri tu kwa watanzania kukosoa na kushauri mambo kama hayo kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Habari za kizushi Enzi za kiwanda cha bia kina milikiwa na serikali Yale nagari Isuzu injection ndio yalikuwa yanabeba bia yalikuwa yanaanguka Sana daraja lilikuwa dogo na la kusubiriana... Baadae miaka ya 1993 nadhani ujenzi Wa daraja jipya ilikuwa unaendelea.. Nadhani kama 1994 au 95 ulikuwa ushaisha sasa tokea miaka hiyo kwa daraja jipya si rahisi kuwa chakavu hadi utishe watu labda kama daraja lilitengenezwa kizembe. Daraja la selander lina miaka ya kutosha na Bado lipo njema.. Maisha ya madaraja ni zaidi ya miaka mia
Salender na wami ni tofauti sana kwenye height na uzito wa magari yapitayo hapo,nadhani kuna ukweli hapo
 
Vipi umeumbuka na ukilaza wako Wa kushikiwa akili sasa umeanza viroja naona una washwa na dudu unalitaka... Kama Jf mtu anaokota hoja zake kwenye bus anazileta humu akipingwa anaanza kuita watu sijui mashoga au whatever watu wasinge changia..

Naona ' dongo ' langu limeshakuchanganya na sasa umebaki ' kupepesuka ' tu. Kila nikisoma ' pm ' ulivyokuwa ' unajitongozesha ' Kwangu ukidhani labda na Mimi nafagilia ' Mashoga ' nabaki kuzidi kukudharau tu. Yaani kujifanya kote huko Wewe ni Mtoto wa Town kumbe Mtu wangu Watu ' wanakutambalizia ' Mikuyenge yao? Pole sana na muda si mrefu utanasa katika ' Mtego ' wa RC Makonda.
 
nadhani wewe ni mzoefu Wa kupumuliwa hadi umeamua kubadilisha Mada kisa umeleta hoja urojo ya kipumbavu.. Sasa unaona aibu sababu ulidhania watu watakuona shujaa kumbe bwege ati umeambiwa na mtaalamu yaelekea alipokuwa anakuambia kwenye hilo gari alikuwa amekupakata. Tuombe mods waeleze Kama nishatuma any private msg kwako yeyote na Kama hamna hiyo accusation yako ni ya mapunga tu. Kwa hoja huniwezi na ukileta matusi nakutuliza.

Ili kuthibitisha huu ' Uharo ' wako ambao kimsingi umekuanzia pia katika ' Kichwa ' chako hebu tuanze sasa kuangalia Mimi na Wewe ni nani ambaye mpaka sasa katika ' Uzi ' huu ana ' likes ' za kutosha na bado zinazidi kummiminikia tu kisha tutajua Mimi na Wewe nani ana ' impact '. Ninachofurahi tu ni kwamba tayari nimeshakuharibu ' psychology ' yako na umeshatoka katika suala la msingi na sasa unabaki tu ' kupepesuka '. Siku nyingine ukitaka ' kujibizana ' na ID hii uwe unafanya ' consultation ' na wanaoijua ili wakufundishe kuikabili vinginevyo zile mbinu zangu 1000 za ' kummaliza ' adui hazitakukosa na najua zitakuwa zinakuumiza na kukutia hasira huku Mimi nikiwa ' nacheeeeeeeka tu kwa dharaaaaaaaau '.
 
24.jpg

Daraja la Wami Chalinze Segera km litaharibika lipo lingine la kupitia Kijiji cha Mabdera lililojengwa na JWTZ
02+Wami+Bridge+Saadani+National+Park+Bagamoyo.JPG


Kama njia zote hizi zitakosekana basi ni kupitia Morogoro Dumila Turiani Tanga, bado Tanzania ina Network kubwa ya barabara
Bado mwaka huu 2017 serikali imetenga
Bilioni 3/- kupanua daraja mto Wami



Sehemu ya daraja la mto Wami

SERIKALI imetenga Sh bilioni tatu katika mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kuanza upanuzi wa daraja la mto Wami.
Kauli hiyo imetolewa bungeni na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Edwin Ngonyani wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Mgeni Jadi Kadika(CUF) aliyetaka kujua lini serikali itapanua daraja hilo.
Nganyani alisema Serikali inatekeleza mpango huo kwa sababu inatambua kuwa daraja la Wami katika barabara ya Chalinze- Segera ni kiungo muhimu kati ya Dar es Salaam, pwani, Morogoro na mkoa ya kaskazini mwa Tanzania.
Daraja ni zima kasoro ni jembamba
View attachment 472002

View attachment 472003
View attachment 472004
images

Mamba hakuna ni woga tu
images

hata hivyo ashukuriwe GENTARMYCINE kwa kukumbushia huenda Project za viwanja vikasimama kwanza
Bilioni 3/- kupanua daraja mto Wami

Mkuu ni GENTAMYCINE na si hivyo ulivyoandika Wewe tafadhali. Hata hivyo nashukuru pia kwa compliment yako ila Mimi siku zote najikita katika kufanya Developing, Impact and Patriotism Journalism na nashukuru nimekuwa nikiifanya sana humu JF na feedback yake huwa naipata kutoka Vyanzo vyangu mbalimbali hasa kwa wale ambao huwa nawalenga au kuwakusudia.
 
Na pale chini ya maji kuna chupa nyingi zikizopasuka...duuh....maana enzi hizo tuna toka minja secondary ndani ya ngolika.....tulikuwa tunajifanya mkojo umetubana ilituzipasue tuu.....ila mtaalamu kanena.....ukitakakujua akili za waafrika wachache .......huwa na akili timamu kwenye mambo ya kipuuzi ila ya msingi kama daraja tajwa mpaka ndugu zao wape utasikia.......madilio ya ujenzi yalishafanyika....bado mchakato tuu....je mpaka tufeeeee....! This is TZ bhana....
 
Mkuu ni GENTAMYCINE na si hivyo ulivyoandika Wewe tafadhali..
kumbe nimekosea kuongeza spelling R
maana nilijua ni nickname kwa ajili ya ule dawa ya sindano
kumbe ni la ubatizo basi sorry sorry nitakuwa nacopy na kupaste maana hata font humu JF ni adimu
 
Engineer anapomwambia abiria waliyekutana nae safarini kuhusu suala zito la namna hii!! Hii ndio TZ bwana!! Wabunge, madiwani , wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa na mawaziri wenye dhamana hawaambiwi!! Negative people na negative thinking zitatumaliza wallah!!!! Kila siku tumechoka kuwekewa taharuki vichwani. Peleka hoja hii kwenye mamlaka zinaxoweza kuchukua hatua. Utakuwa umesaidia jamii hii.

Wote ulyowataja wanapita angani
 
Mungu atuepushe ila kama ikija kutokea basi itokee wakati mtu kama PM, VP au waziri yeyote na hata Raisi Nkurunziza atakapo Pita ndio liporomokel
 
Nikiwa natokea Tanga leo asubuhi huku nikiwa nimebahatika kukaa karibu na Mhandisi mmoja ' maarufu ' sana nchini hasa kwa ' uweledi ' wake katika masuala mazima ya ' Kiuhandisi ' ndani na nje ya Tanzania kama kawaida yangu ya kupenda kuwa ' inquisitive ' pale ninapojua nimekaa na ' Mtaalam ' niliweza kuzungumza nae mawili matatu hasa hasa juu ya lile daraja la Wami ndipo huyu Mhandisi ' akafunguka ' zaidi Kwangu.

Wakati tunakaribia daraja lenyewe la Mto Wami nikamgeukia huyu Mhandisi na kumuuliza kuwa kulikoni hili daraja hadi sasa linazeeka hivi na hakuna kinachofanyika wakati Wao kama ' Wataalam ' wetu wapo?

Huyu Mhandisi katika kunijibu wala hakutaka kupepesa macho, kumung'unya mdomo na kutikisa masikio na akaenda moja kwa moja kunijibu hivi kama ambavyo nayanukuu maneno yake " Bwana mdogo GENTAMYCINE hivi unadhani aliyesema ule msemo wa no hurry in Africa alikosea? Kwa taarifa yako tu tumeshapeleka ushauri wetu wa Kitaalam kabisa huko kunakohusika huu ni mwaka wa 18 sasa lakini tunapuuzwa tu na labda pengine kwakuwa sisi ni Waafrika ndiyo maana ushauri wetu umewekwa Kapuni "

Mhandisi hakuishia tu hapo akaenda mbele na kusema tena na namnukuu " GENTAMYCINE nadhani hata hivi tunavyopita hapa darajani sasa unaweza ukahisi kitu fulani hakijakaa sawa na labda nikuambie tu kuwa nina uzoefu wa masuala mazima ya Kiuhandisi nakuhakikishia kama ndani ya miezi 6 au 9 ijayo hakuna marekebisho makubwa au ujenzi wa daraja jipya utakaofanyika Watanzania tujiandaeni kupokea Msiba mzito sana wa Kitaifa kwani hili daraja hivi sasa halina muda mrefu litaanguka na Watu kupotelea Mtoni ambako Mto wenyewe tu una Kina kirefu na kibaya zaidi ndiyo Mto nadhani ambao kwa Tanzania una Mamba wakubwa mno ukiondoa Mto Ruaha ".

Mnaohusika na suala hili nadhani ' ujumbe ' huu wa Kitaalam kabisa utakuwa umewafikia na nawaomba kupitia ' uzi ' huu huu basi muambiane na haraka haraka mjipange mfanye ujenzi pale Darajani Mto Wami ili muokoe maisha yetu sisi Watanzania ' wanyonge ' wa Kimaisha ambao usafiri wetu mkubwa ni ' Bombardier ' za ardhini tu.

Mwisho nitoe tu RAI kwenu enyi Mamlaka husika acheni hii tabia ya kufungia katika ' Makabrasha ' yenu taarifa muhimu na nyeti zenye maslahi mapana na mazito kwa nchi kama hizi kwani haiwezekani kuwa kumbe mlishawahi kupewa ushauri wa Kitaalam kabisa miaka 18 iliyopita na cha kushangaza kama siyo kutia aibu mpaka leo hakuna kilichofanyika halafu mpo mpo tu. au mnataka mtutoe ' Kafara ' hapo Darajani Mto Wami?

Tunaomba Daraja jipya Mto Wami upesi sana.

Nawasilisha.
Genta lile daraja haliitaji hadi uwe injinia wa madaraja hata mwalimu wa civics akikatiza hapo rozari ama tasbihi mkononi unajua sasa kinanuka. Hakika ule mdaraja unatisha sana, jamani sisi wa pande hizo ndio basi tena twasubiri rehema za Mungu tu. Nimeahirisha safari yangu mwezi wa sita hadi mwakani Mungu akipenda
 
Ungejua maana ya uwepo na Social Platforms Kijamii, Kisiasa na Kiuchumi sidhani kama ungetuonyesha humu huu ' Upumbavu ' wako uliotukuka. Pili ungekuwa angalau una a,b,c's za Kiuandishi wa Habari ' usingepovuka ' hivi. Hata hivyo ni ' Jukumu ' langu siku zote kuwaelimisheni ' Majuha ' kama Wewe na nikuambie tu kuwa kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe au taarifa sehemu husika na siyo lazima hadi uende pale physically. Nasikitika sana kuwa upo humu JF lakini bado hujajua ' impact ' kubwa ya huu Mtandao hasa katika kuleta maendeleo ' chanya ' ya nchi yetu. Nikusaidie nilichokifanya ni kufikisha ujumbe na kutahadharisha ili Wanaohusika sasa waanze ' kuamka ' na wafanye kitu pale Daraja la Mto Wami na uzuri ni kwamba hao so called ' Mamlaka ' husika nina uhakika 100% wote wapo na ni Members wazuri tu wa JF.

Hii taarifa angeisema Mzungu nadhani ungeona ina umuhimu ila bahati mbaya ameisema Mswahili mwenzio unaona ni mbaya na ni ya ' Kipuuzi '. Unasema ni taarifa ya ' Taharuki ' hivi kumtahadhirisha Mtu juu ya ' Hatari ' inayokuja ili aanze kuchukua tahadhari ni dhambi au kosa?

Mwisho kwa kukusaidia Mwandishi wa Habari yoyote aliyebobea anaweza kuandika Habari yake kutoka moja ya vyanzo vikuu Vitatu vinavyoaminika ' Kiueledi ' ambavyo ni:

  1. Authoritarian Source: Chanzo Mamlaka ( Mhusika kutoka Serikalini, Mahakamani na Police )
  2. Credible Source: Chanzo Kitaalam ( Mbobezi hasa wa hiyo Tasnia )
  3. Reliable Source: Chanzo Tegemezi ( hasa kilichopo eneo husika )
Nadhani kwa Shule hii ' kiduchu ' utaacha sasa kuwa ' Mjinga ' na tutaenda sawa Mkuu.
Hao wengine achana nao, alitaka akuandikie barua ..... salamu sana ama baada ya salamu, ndugu Genta nakisihi sana unapopita wami uanze na sala... hajui kuna habari mubashara na mtaalamu hachagui ukumbi anapoizwa swali la kitaalamu linalogusa maisha ya watu anatema cheche tu hata kama malaika angeshusha ubawa wake ataziba masikio
 
Back
Top Bottom