Mtaalam asema Watanzania tujiandae kwa Msiba mzito muda wowote Daraja la Mto Wami

Ninayo mashaka kama kweli daraja hili linafanyiwa routine checks. Daraja limejengwa 1959. Kwa umri huu na kuongezeka idadi ya magari yanoyuvuka daraja kila siku fatigue failure is a real possibility. Mungu tuepushe.
Daraja lina umri kuliko umri wa uhuru wa tanganyika, tanganyika hoi alafu daraja liwe zima kweli?
 
Pale penye mto wami sidhani kama Pana kina kirefu ila nachojua tu kuwa daraja liko juu na hao mamba sina uhakika nao kama kweli wapo,ila anyway message sent.....tutaanza kupita saadani
Jamaa yangu pale washkaji wapo kibao, ni kiasi chakugusa maji tu umesambaratika
 
Kama kweli ni mwandishi mbobevu ungeweza kuleta ujumbe wako katika namna ambayo haileti taharuki kama ulivyifanya. Sitakujibu kwa matusi kwa kuwa licha ya kuwa mimi si mwandishi wa habari naelewa mwandishi wa habari mbobevu kama unavyojinasibu hawezi jibu jinsi ulivyonijibu. Hoja ya msingi hapo ni kuwa kuna taarifa kutoka kwa mtaalam kwamba daraja la mto wami lahitaji marekebisho makubwa ili liweze kupitika kwa usalama zaidi. Wito uliotakiwa kutolewa ni kwa mamlaka husika ( iwe jamii, viongozi, wataalam n.k) kulisemea hili na hatua stahiki kuchukuliwa kwa lengo la kuzuia madhara kwa watu na mali. Naamini nimeweza kuendelea kukuonyesha ' UJINGA' wangu wewe mwandishi MBOBEVU.
Jamaa kasema ukweli, kutaharuki na kuacha kutaharuki ni moyo wa mtu. Daraja halifai kwa matumizi ya binadamu, watu wakitumbukia wanaliwa kama karanga na washkaji nao wanaisoma namba kule kwenye maji so ukiingia kule hata kama una fungus hawatajali. Huo ndio ukweli, na ukweli unasemwa kama ulivyo. Unataka alisifie alafu kesho watu wapotee uje tena umkandie?
 
Samahani ndugu Mhandisi,naomba nikuulize swali,Hivi pale wami hapafai kujengwa bwawa la kuzalisha umeme na pakawa daraja pia juu yake? huwa nikipita pale maono yangu haya hujirudia sana huu ni mwaka wa kumi na moja sasa!
Inawezekana, ina oanahitajika slope ya maana kidogo kuyafanya maji yaende kwa kasi zaidi. Wataalamu wetu wanaogopa kushikwa makalio na mamba
 
Inawezekana, ina oanahitajika slope ya maana kidogo kuyafanya maji yaende kwa kasi zaidi. Wataalamu wetu wanaogopa kushikwa makalio na mamba
Bora ungesema haiwezekani! Issue siyo slope, issue ni height toka juu hadi maji yanapoanza kumwagika hadi kufikia mashine za kufua umeme (turbines).
Inahitajika kasi Fulani hivi ya maji toka juu. Pale Wami height haikidhi viwango.
 
Naona ' dongo ' langu limeshakuchanganya na sasa umebaki ' kupepesuka ' tu. Kila nikisoma ' pm ' ulivyokuwa ' unajitongozesha ' Kwangu ukidhani labda na Mimi nafagilia ' Mashoga ' nabaki kuzidi kukudharau tu. Yaani kujifanya kote huko Wewe ni Mtoto wa Town kumbe Mtu wangu Watu ' wanakutambalizia ' Mikuyenge yao? Pole sana na muda si mrefu utanasa katika ' Mtego ' wa RC Makonda.
Hata mtu akikusoma anakuona mpuuzi na kocho mtu anayekuumbua uwanjani hawezi kamwe kuja ndani kwako hiyo njia unajokosha barazani ati uonekane unafuatwa jf humu ufuatwe pm hata profiles za watu humu hatusomi.. Nadhani Una genetics za kike katika kujidefence unatumia kiungo chako cha kunyea ili uonewe Huruma na kadamnasi kuwa ulitakwa kubakwa Mr avatar ya mzungu. Hapa umekutana na mtu anaye simamia hoja na sio viroja.
 
Ili kuthibitisha huu ' Uharo ' wako ambao kimsingi umekuanzia pia katika ' Kichwa ' chako hebu tuanze sasa kuangalia Mimi na Wewe ni nani ambaye mpaka sasa katika ' Uzi ' huu ana ' likes ' za kutosha na bado zinazidi kummiminikia tu kisha tutajua Mimi na Wewe nani ana ' impact '. Ninachofurahi tu ni kwamba tayari nimeshakuharibu ' psychology ' yako na umeshatoka katika suala la msingi na sasa unabaki tu ' kupepesuka '. Siku nyingine ukitaka ' kujibizana ' na ID hii uwe unafanya ' consultation ' na wanaoijua ili wakufundishe kuikabili vinginevyo zile mbinu zangu 1000 za ' kummaliza ' adui hazitakukosa na najua zitakuwa zinakuumiza na kukutia hasira huku Mimi nikiwa ' nacheeeeeeeka tu kwa dharaaaaaaaau '.
Ningekuwa nimeandika uharo nami nisingepata like vile vile but for real hilo daraja ni zima na life yake Bado Sana tu ukatabati tu Wa kawaida Kama tarmac road na rust protected n.k hivyo vyuma vyake sio vya leo wala kesho hiyo miezi yako mliobuni wewe na mtaalam wako uchwara asiye na jina daraja litaendelea kuwepo Sana tu na dua zako mbovu za kuku peleka kwenu. Tatizo lako kuumbuka ni jambo la kawaida Sana umepanic hadi misuli ya shingo imekutoka hadi dhambi umechota... Me sishikwi na hasira kwa maandishi ya watu wasio onekana, nilianza kukutana na wajinga zaidi yako huko DHW na hawakupi nafasi ya kujibu wana flood na wakitulia nawapa ukweli me habari ya kubuni au umeambiwa sikupi point katu. Huwezi tumia kitu cha mtu usifiwe rudi shule.

Habari uliyoleta ni hearsays.
 
Hata mtu akikusoma anakuona mpuuzi na kocho mtu anayekuumbua uwanjani hawezi kamwe kuja ndani kwako hiyo njia unajokosha barazani ati uonekane unafuatwa jf humu ufuatwe pm hata profiles za watu humu hatusomi.. Nadhani Una genetics za kike katika kujidefance unatumia kiungo chako cha kunyea ili uonewe Huruma na kadamnasi kuwa ulitakwa kubakwa Mr avatar ya mzungu. Hapa umekutana na mtu anaye simamia hoja na sio viroja.

Hivi na Wewe unajiita Mtu au Kidudu Mtu tu? Nasubiri jibu lako.
 
Ningekuwa nimeandika uharo nami nisingepata like vile vile but for real hilo daraja ni zima na life yake Bado Sana tu ukatabati tu Wa kawaida Kama tarmac road na rust protected n.k hivyo vyuma vyake sio vya leo wala kesho hiyo miezi yako mliobuni wewe na mtaalam wako uchwara asiye na jina daraja litaendelea kuwepo Sana tu na dua zako mbovu za kuku peleka kwenu. Tatizo lako kuumbuka ni jambo la kawaida Sana umepanic hadi misuli ya shingo imekutoka hadi dhambi umechota... Me sishikwi na hasira kwa maandishi ya watu wasio onekana, nilianza kukutana na wajinga zaidi yako huko DHW na hawakupi nafasi ya kujibu wana flood na wakitulia nawapa ukweli me habari ya kubuni au umeambiwa sikupi point katu. Huwezi tumia kitu cha mtu usifiwe rudi shule.

Habari uliyoleta ni hearsays.

Umesharipoti kwa RC Makonda lakini kwani mnatafutwa sana. Leo utakuwepo Magomeni Mapipa Kwa Macheni ili nikuletee Mteja?
 
Jamaa yangu pale washkaji wapo kibao, ni kiasi chakugusa maji tu umesambaratika

Ndiyo maana nikamwambia kuwa Mimi sibishani nae kuhusu ' mandhari ' ya pale Mtoni ILA ninachokijua ni kwamba Mto una KINA kirefu halafu kuna MAMBA wengi na wakali sana na inategemeana yeye alifika upande gani wa Mto. Wenyeji wenyewe huo Mto wanaugopa na hata wakiwa wanaenda tu huko Mtoni huenda kwa ' timing ' ili ' wasinyakuliwe ' na Mamba.
 
Umesharipoti kwa RC Makonda lakini kwani mnatafutwa sana. Leo utakuwepo Magomeni Mapipa Kwa Macheni ili nikuletee Mteja?
Unaelekea unapendwa kupumuliwa mgongo maana issue za kingese unazipenda na u nasikia raha sikuhizi hupati mabwana kigangwala jina hilo hutaki kulisikia unataja Makonda tu unamuogopa au ushaitwa huko! Sasa hivi unawashwa washeli umebaki unatapa tapa... Unaleta upumbavu kupoteza Mada. Daraja zima na halianguki Leo wala kesho umedanganywa peke yako hivyo usipotoshe wengine... Inaelekea hata ukipewa ikumwi na huyo bwana wako mtaalamu uchwara utaambukiza familia yako yote...
 
Ili kuthibitisha huu ' Uharo ' wako ambao kimsingi umekuanzia pia katika ' Kichwa ' chako hebu tuanze sasa kuangalia Mimi na Wewe ni nani ambaye mpaka sasa katika ' Uzi ' huu ana ' likes ' za kutosha na bado zinazidi kummiminikia tu kisha tutajua Mimi na Wewe nani ana ' impact '. Ninachofurahi tu ni kwamba tayari nimeshakuharibu ' psychology ' yako na umeshatoka katika suala la msingi na sasa unabaki tu ' kupepesuka '. Siku nyingine ukitaka ' kujibizana ' na ID hii uwe unafanya ' consultation ' na wanaoijua ili wakufundishe kuikabili vinginevyo zile mbinu zangu 1000 za ' kummaliza ' adui hazitakukosa na najua zitakuwa zinakuumiza na kukutia hasira huku Mimi nikiwa ' nacheeeeeeeka tu kwa dharaaaaaaaau '.
Nonsense.
24.jpg

Daraja la Wami Chalinze Segera km litaharibika lipo lingine la kupitia Kijiji cha Mabdera lililojengwa na JWTZ
02+Wami+Bridge+Saadani+National+Park+Bagamoyo.JPG


Kama njia zote hizi zitakosekana basi ni kupitia Morogoro Dumila Turiani Tanga, bado Tanzania ina Network kubwa ya barabara
Bado mwaka huu 2017 serikali imetenga
Bilioni 3/- kupanua daraja mto Wami



Sehemu ya daraja la mto Wami

SERIKALI imetenga Sh bilioni tatu katika mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kuanza upanuzi wa daraja la mto Wami.
Kauli hiyo imetolewa bungeni na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Edwin Ngonyani wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Mgeni Jadi Kadika(CUF) aliyetaka kujua lini serikali itapanua daraja hilo.
Nganyani alisema Serikali inatekeleza mpango huo kwa sababu inatambua kuwa daraja la Wami katika barabara ya Chalinze- Segera ni kiungo muhimu kati ya Dar es Salaam, pwani, Morogoro na mkoa ya kaskazini mwa Tanzania.
Daraja ni zima kasoro ni jembamba
View attachment 472002

View attachment 472003
View attachment 472004
images

Mamba hakuna ni woga tu
images

hata hivyo ashukuriwe GENTARMYCINE kwa kukumbushia huenda Project za viwanja vikasimama kwanza
Bilioni 3/- kupanua daraja mto Wami
 
Back
Top Bottom