Mtaa wetu umekuwa ni wa viwanda

nzalendo

JF-Expert Member
May 26, 2009
10,621
9,739
Angalau kila nyumba ina kiwanda cha kutengeneza juice,
Pia kuna viwanda vikubwa vya kutengeneza barafu na ice cream
Kama hiyo haitoshi kuna kiwanda kikubwa sana sana cha kuchonga fenicha
Lakini katika hivyo vyote tuna kiwanda cha matofali ..hiki ndio kiboko.
Tuna kiwanda cha kuchomelea vyuma,ma grill ma gate duuh ...usipime
Bwashee kafungua kiwanda cha chips hepe yai
Masawe kafungua kiwanda cha nyama ..wenyewe mnaita bucha
 
Angalau kila nyumba ina kiwanda cha kutengeneza juice,
Pia kuna viwanda vikubwa vya kutengeneza barafu na ice cream
Kama hiyo haitoshi kuna kiwanda kikubwa sana sana cha kuchonga fenicha
Lakini katika hivyo vyote tuna kiwanda cha matofali ..hiki ndio kiboko.
Tuna kiwanda cha kuchomelea vyuma,ma grill ma gate duuh ...usipime
Bwashee kafungua kiwanda cha chips hepe yai
Masawe kafungua kiwanda cha nyama ..wenyewe mnaita bucha
Hiyo ndo tafsiri ya Mbuyu kuanza kama mchicha
 
Back
Top Bottom