nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,621
- 9,739
Angalau kila nyumba ina kiwanda cha kutengeneza juice,
Pia kuna viwanda vikubwa vya kutengeneza barafu na ice cream
Kama hiyo haitoshi kuna kiwanda kikubwa sana sana cha kuchonga fenicha
Lakini katika hivyo vyote tuna kiwanda cha matofali ..hiki ndio kiboko.
Tuna kiwanda cha kuchomelea vyuma,ma grill ma gate duuh ...usipime
Bwashee kafungua kiwanda cha chips hepe yai
Masawe kafungua kiwanda cha nyama ..wenyewe mnaita bucha
Pia kuna viwanda vikubwa vya kutengeneza barafu na ice cream
Kama hiyo haitoshi kuna kiwanda kikubwa sana sana cha kuchonga fenicha
Lakini katika hivyo vyote tuna kiwanda cha matofali ..hiki ndio kiboko.
Tuna kiwanda cha kuchomelea vyuma,ma grill ma gate duuh ...usipime
Bwashee kafungua kiwanda cha chips hepe yai
Masawe kafungua kiwanda cha nyama ..wenyewe mnaita bucha