Mtaa umebalance shobo

Mtaa umebalance shobo

Nchi ni maskini, watu wamesoma vzr tu, tatizo ni nchi aina mipango kwa ajili ya wasomi wetu,

MTU kasoma udakitari, apewe hospitsri akafanye maajabu, anaachwa kitaa, na, jamii,inataka aendeshe bajaji! Degree ya miaka, mitano! Unamiacha dokta bila kazi!

Bongo ni ya Ki K saana
Yani Hii changamoto sasa ndo nayoisemea ...
 
Aisee mim nimemaliza university 2016,2017 nikaingia jeshini aisee japo safari yangu ilikuwa ngumu sana ,so sio jobless na hapa kuna jambo limemkuta ndugu yangu huko kwenye masuala ya job ndo nimechoka
😀🤣kabsa mkuu mm bado jobless napiga dei waka tu mtaani ikifka jioni mida ya kuskiliza udaku kijiwe nongwa
 
Back
Top Bottom