Unataka zakula tu ama ww ni mfanya biashara unataka nyingi zakuuza..kama zakuuza hapo jibu sina ila kama nizakula tu nenda SOKOMATOLA utazikutanipo mbeya mtaa wa ikuti...naomba mnifahamishe ni wap au soko gani nnaweza kupata njugu mawe. Kwa yeyote anaejua anifahamishe please
Ni za kula tyu...poa ngoja nikazichekiUnataka zakula tu ama ww ni mfanya biashara unataka nyingi zakuuza..kama zakuuza hapo jibu sina ila kama nizakula tu nenda SOKOMATOLA utazikuta
Kama upo hapa Mbeya Town nenda Soko la Soweto ni hela yako tu, kule vyakula ni vingi sana na njugu zipo na bei ni cheeee sana....nipo mbeya mtaa wa ikuti...naomba mnifahamishe ni wap au soko gani nnaweza kupata njugu mawe. Kwa yeyote anaejua anifahamishe please
Mh ilo cilipati mkuu ndo lipo wapKama upo hapa Mbeya Town nenda Soko la Soweto ni hela yako tu, kule vyakula ni vingi sana na njugu zipo na bei ni cheeee sana....
Nenda Kabwe pale ulizia soko la Soweto liko wapi watakupa direction sio mbali kutoka hapo Kabwe ni upande wa pili tu..mh ilo cilipati mkuu ndo lipo wap