tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,955
Wydad (Morocco) 3-0 Stade Malien (Mali)
( aggr 3-1)
Mtanzania Simon Msuva jana alicheza kwa dakika 86 kabla ya kufanyiwa Sub, ambapo kwa muda huo mnamo dakika ya 46 kipindi cha pili alipiga krosi mujarrabu iliyomfikia Ellafi na kuweka mpira kimiani ikiwa ni goli la pili kwa Wydad Casablanca.
Hvyo mpaka mpira unaisha, Wydad wamefuzu kuingia hatua ya makundi.
Hii ni mechi ya pili ya CAF Champions league kwa Simon Msuva ndani ya uzi wa timu yake mpya ya Wydad.
Kongole Msuva kwa kuweza kuaminia na Kocha na kupewa nafasi ya kucheza na kufanya vyema.
( aggr 3-1)
Mtanzania Simon Msuva jana alicheza kwa dakika 86 kabla ya kufanyiwa Sub, ambapo kwa muda huo mnamo dakika ya 46 kipindi cha pili alipiga krosi mujarrabu iliyomfikia Ellafi na kuweka mpira kimiani ikiwa ni goli la pili kwa Wydad Casablanca.
Hvyo mpaka mpira unaisha, Wydad wamefuzu kuingia hatua ya makundi.
Hii ni mechi ya pili ya CAF Champions league kwa Simon Msuva ndani ya uzi wa timu yake mpya ya Wydad.
Kongole Msuva kwa kuweza kuaminia na Kocha na kupewa nafasi ya kucheza na kufanya vyema.