Msumari kwa vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu

Wanatumia sheria gani kufikia uamuzi huo? TCRA ilikuwa inaendeshwa kwa ueledi sana, ila naona baada ya kuja huyu mkurugenzi mpya siasa zimekuwa nyingi sana. Hii ni aibu yetu sote watanzania. Inaonekana kama jamii tunakosa ustaarabu, busara na hekima ya kuendesha mambo yetu kwa usawa na haki. Ndo maana Kagame amesema kuongea demokrasia ni kitu kimoja lakini kutenda demokrasia ni kitu kingine.
 
,Mamlaka ya mawasiliano Tanzania chini ya mwongozo kwa vyombo vya habari,inasema vyombo vya habari havitaruhusiwa kutangaza tafiti za kukubalika ama kutokubalika kwa vyama ama wagombea zikibaki siku 30 kabla ya siku ya kupiga kura!hivyo Kutoa matokeo ya utafiti wa nani anaongoza kuelekea uchaguzi mkuu,mwisho trh 25.9.2015 ,na hata zile tafiti zitakazotolewa kama waliohojiwa hawazidi 1000,chombo kinatakiwa kusema waliohojiwa ni chini ya watu 1000,sheria inakataza kuleta mgeni kwenye kipindi na kuanza kuongelea mambo ya chama kingine,akija mgeni mmoja kutoka chama kimoja,aongelee masuala ya chama chake tu,mfano akiitwa mtu kwenye ki[pindi kutoka Chadema,haruhusiwi kuzungumzia masuala ya CCM,azungumzie masuala yake ya Chadema tu!.
Hakuna mtu wa ccm anayeweza kuzungumza popote bila kuitaja chadema/ukawa. Mwigulu Nchemba atahusika sana na katazo hilo.
 
Tutazungumza kwa kutumia codes mf.nepi,padlock,jah car yeah nk.Nipeni nyingine wana jf..
 
,Mamlaka ya mawasiliano Tanzania chini ya mwongozo kwa vyombo vya habari,inasema vyombo vya habari havitaruhusiwa kutangaza tafiti za kukubalika ama kutokubalika kwa vyama ama wagombea zikibaki siku 30 kabla ya siku ya kupiga kura!hivyo Kutoa matokeo ya utafiti wa nani anaongoza kuelekea uchaguzi mkuu,mwisho trh 25.9.2015 ,na hata zile tafiti zitakazotolewa kama waliohojiwa hawazidi 1000,chombo kinatakiwa kusema waliohojiwa ni chini ya watu 1000,sheria inakataza kuleta mgeni kwenye kipindi na kuanza kuongelea mambo ya chama kingine,akija mgeni mmoja kutoka chama kimoja,aongelee masuala ya chama chake tu,mfano akiitwa mtu kwenye ki[pindi kutoka Chadema,haruhusiwi kuzungumzia masuala ya CCM,azungumzie masuala yake ya Chadema tu!.

Ha ha haaa! Msumari wa moto umeanza kuwaingia. Tulieni uingie vizuri maana haukwepeki.
 
hakuna future bila past, ni lazima useme ccm walikosea wapi kama chama tawala ili wewe mpinzani ujue utasawazishaje
 
Back
Top Bottom