Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Mdhungu mmoja alikuwa akisafirishwa na Ngosha wawili kwenye mtumbwi na wakati akiongea kwenye simu, jambo likatokea nyuma yake ila hakuona kwa kuwa busy na simu na alipomaliza, kugeuka nyuma hamuona Masanja na Mudhungu akapata mchanganyiko na kuanza kuuuliza alipo Masanja. Ila kabla ya hapo walisafiri kwa gari muda mrefu kufika ziwani ambapo Mudhungu alikuwa akiimuliza Masunga:
Mudhungu: How many kilometers left?
Masunga: Twende tu (Mdungu akajua twenty two).
Hii ilienda kama mara nne hivi na mwisho wakafika ziwani na kupanda huo mtumbwi na mwisho Masanja akapotea.....
Mudhungu: Masunga, where is Masanja?
Masunga: Masanja is Nyanza (Kadumbikia ziwani Victoria), Mamba is dimadima, tandulaga vipandes. Mzungu say yes?
Mudhungu: Noooo!!!!!
NB: Hii siyo yangu lakini, mwenyewe aliyetunga wala simkumbuko.
Mudhungu: How many kilometers left?
Masunga: Twende tu (Mdungu akajua twenty two).
Hii ilienda kama mara nne hivi na mwisho wakafika ziwani na kupanda huo mtumbwi na mwisho Masanja akapotea.....
Mudhungu: Masunga, where is Masanja?
Masunga: Masanja is Nyanza (Kadumbikia ziwani Victoria), Mamba is dimadima, tandulaga vipandes. Mzungu say yes?
Mudhungu: Noooo!!!!!
NB: Hii siyo yangu lakini, mwenyewe aliyetunga wala simkumbuko.