Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,240
- 3,931
Aliowataja wako gerezani?Kwani lema yuko gerezani?
Aliowataja wako gerezani?Kwani lema yuko gerezani?
msukuma hana hela yule,au ile helcopter aliyokodiwa na lowasa kwa wiki moja atembee nayo msukuma ndo inakuchanganya nini?,
hana hela yule
Hahah uki iona hio toyota v8 model ya nyuma kidogo ilichofanywa utauielewa vzr zaid chief..Mkuu kama hutojali naomba kuijua hyo V8 ya ku upgrade.
walikushirikisha kufungua accounts zao za bank ?
Kama vile kwenye ile kesi ya Balozi Mahalu,Mkapa alivyoenda kumtetea Mahakamani na jamaa akaachiwa.Anajaribu kucheza na sumu ya anaconda huyu musukuma!
Joka la makengeza haliwezi fungwa gerezani maana siku ya case yake litamwita William Mkapa aje kua shaidi wake no moja, sasa Mkapa akisema kwamba joka ni adirifu halina chembe chembe za ufisadi unategemea nini? Hapo ndo joka litakua lishapona
We si umesema una F ya ligi,tuliza shanga kama vp.Mkuu! Mwache huyo jamaa atakuchosha tu bure,naona lengo lake ni kuweka ligi tu apa.
Hahah hata tume ya Maadili kipindi cha Escrow aligoma kuhojiwa akasema atahojiwa Mahakamani na sio kuhojiwa na hio Tume na kesi ikafia hapohapo.Msukuma mziki wa Chenge unaweza? Haya ndio kasema haojiwi mpaka apelekwe mahakamani
Hahaha hii nchi kama ina sehemu za siri basi Chenge kashika mapumb*.Hahah hata tume ya Maadili kipindi cha Escrow aligoma kuhojiwa akasema atahojiwa Mahakamani na sio kuhojiwa na hio Tume na kesi ikafia hapohapo.
Joka janja janja sana lile! King Cobra Mtemi Andrew Jonh Chenge, halafu jamaa kasoma seminary, what if asingesoma seminary, angeuza nchi na watu wake huyu jamaa!Kama vile kwenye ile kesi ya Balozi Mahalu,Mkapa alivyoenda kumtetea Mahakamani na jamaa akaachiwa.
Hahah aisee hapo umeua hahahHahaha hii nchi kama ina sehemu za siri basi Chenge kashika mapumb*.
We si umesema una F ya ligi,tuliza shanga kama vp.
Hahah jamaa ni pesa mtu yule.Jamaa kapiga bilion 1 na ushee kwenye escrow afu alivyobanwa akajibu hio ilikua ni consultation fee kwa Rugemarila,watu wote kimyaaaaa hahah.Joka janja janja sana lile! King Cobra Mtemi Andrew Jonh Chenge, halafu jamaa kasoma seminary, what if asingesoma seminary, angeuza nchi na watu wake huyu jamaa!
Haya endelea kuzishikilia zisikatike hapo.Shanga uvae wewe halafu unipe Mie kazi ya kuzitiliza?? Imeandikwa kila mtu na aubebe mzigo wake.