Msukule aliyesalimika baada ya ugomvi wa Kaka na Dada!

Msukule aliyesalimika baada ya ugomvi wa Kaka na Dada!

Nimeikuta hii habari Na Picha kwenye moja ya group la Whatsaap.

Haina Maelezo yanayojitoshereza zaidi ya kusema Baada ya Dada kugombana Na Kaka yake, ndo akamwaga mboga kuwa Kaka yake wakati anajenga hiyo nyumba, alijenga kichumba kidogo Sana, Na kumuweka Msukule wake ambapo alibakiza kisehemu kidogo Sana (Tundu)
Then akaendelea Na ujenzi mpaka kumaliza!

Siri ikajulikana majuzi baada ya Mdada kuropoka.......
Picha zinaonyesha hatua kwa hatua toka kuvunja mpaka kumtoa Msukule.View attachment 446633 View attachment 446634 View attachment 446636
hii picha ina mashaka na maswali mengi. kwani nani alikuwa anamnyoa nywele na kumkata kucha, naona kama kichwa chake kimenyolewa nywele muda si mrefu. au zilikuwa hazioti. au alimnyoa kwa juu juu? ilikuwaje?
 
Nimeikuta hii habari Na Picha kwenye moja ya group la Whatsaap.

Haina Maelezo yanayojitoshereza zaidi ya kusema Baada ya Dada kugombana Na Kaka yake, ndo akamwaga mboga kuwa Kaka yake wakati anajenga hiyo nyumba, alijenga kichumba kidogo Sana, Na kumuweka Msukule wake ambapo alibakiza kisehemu kidogo Sana (Tundu)
Then akaendelea Na ujenzi mpaka kumaliza!

Siri ikajulikana majuzi baada ya Mdada kuropoka.......
Picha zinaonyesha hatua kwa hatua toka kuvunja mpaka kumtoa Msukule.View attachment 446633 View attachment 446634 View attachment 446636
Mbona maelezo ya kiingereza yanadai aliopolewa na jamaa jasiri kwenye kuta za kibambaza cha kanisa baada ya watu kukereka na sauti iliyotoka "pande'izo" lakini hakuna aliyejitokeza kujitoa mhanga hadi huyo jasiri alipojitolea kuvunja na kumropoa huyo "msukule sharobaro".
 
Nimeikuta hii habari Na Picha kwenye moja ya group la Whatsaap.

Haina Maelezo yanayojitoshereza zaidi ya kusema Baada ya Dada kugombana Na Kaka yake, ndo akamwaga mboga kuwa Kaka yake wakati anajenga hiyo nyumba, alijenga kichumba kidogo Sana, Na kumuweka Msukule wake ambapo alibakiza kisehemu kidogo Sana (Tundu)
Then akaendelea Na ujenzi mpaka kumaliza!

Siri ikajulikana majuzi baada ya Mdada kuropoka.......
Picha zinaonyesha hatua kwa hatua toka kuvunja mpaka kumtoa Msukule.View attachment 446633 View attachment 446634 View attachment 446636
Mh, hii picha yako!!
Mbona kuna picha nyingine kama hii ina maelezo kuwa ni msukule aliyezikwa kwenye kanisa huko nigeria..??
 
Sikweli, hii imetokea Nigeria ambako mtoto kwa bht mbaya wkati wanacheza akawa amedumbukia kwenye shimo
 
Ndio
Hii habari ina utata mwingi...katika hii link uliyotoa wanasema aliteleza akatumbukia hapo alipokutwa...na alikaa kwa siku tatu tu.

"He became trapped after slipping down into a tiny gap of less than a foot between the wall and a house, while playing alone near a cafe"

Kabisa. Hapo hakuna cha msukule wala kanisa wala nn. Tatizo letu ni kuwa habari hainogi kama hatujaweka mambo ya kishirikina ndani yake.
 
Hii ni ngumu kuamin nimekataa kbs kucha nani alimkata,nywele nani alimkata na nani aliekuwa anamuogesha maana hana hata ukurutu waseme jingine hilo hapanaa
umesoma vizuri amekaa muda gani? Ila mleta habari eleza ni wapi hapo?
 
Nimeikuta hii habari Na Picha kwenye moja ya group la Whatsaap.

Haina Maelezo yanayojitoshereza zaidi ya kusema Baada ya Dada kugombana Na Kaka yake, ndo akamwaga mboga kuwa Kaka yake wakati anajenga hiyo nyumba, alijenga kichumba kidogo Sana, Na kumuweka Msukule wake ambapo alibakiza kisehemu kidogo Sana (Tundu)
Then akaendelea Na ujenzi mpaka kumaliza!

Siri ikajulikana majuzi baada ya Mdada kuropoka.......
Picha zinaonyesha hatua kwa hatua toka kuvunja mpaka kumtoa Msukule.View attachment 446633 View attachment 446634 View attachment 446636
Hiyo ni balaa pia hiyo imejengeka sana huku kwetu magharibi.
 
Ni waongo kama kweli uchawi upo kwa nini wasimshushe uncle tezi dume ili akiwa nje kutibiwa sisi huku tuweze kupumua kidogo
Sasa labda utuelekeze kidogo.
Huyu Rais magufuli akiugua wewe utapumua kivipi wakati sera zake bado zinaendelea? Si bora ungesema wachawi wakamroga afe tu?
Au unaogopa kufunguliwa kesi ya kumuombea mabaya Rais!
Manake siku hizi Tanzania Huyu Mtawala asifiwe tu km alivyo lazimisha kusifiwa HITLER.

Kaazi kweli kweli.
 
Nimeikuta hii habari Na Picha kwenye moja ya group la Whatsaap.

Haina Maelezo yanayojitoshereza zaidi ya kusema Baada ya Dada kugombana Na Kaka yake, ndo akamwaga mboga kuwa Kaka yake wakati anajenga hiyo nyumba, alijenga kichumba kidogo Sana, Na kumuweka Msukule wake ambapo alibakiza kisehemu kidogo Sana (Tundu)
Then akaendelea Na ujenzi mpaka kumaliza!

Siri ikajulikana majuzi baada ya Mdada kuropoka.......
Picha zinaonyesha hatua kwa hatua toka kuvunja mpaka kumtoa Msukule.View attachment 446633 View attachment 446634 View attachment 446636
Hiyo nyumba yenyewe mbona.mbovu mbovu mie nilifikiri boonge la.hekalu kumne kibanda mwee
 
Mimi hapa sikubali. Msukule gani umenyoa. Inamaana nywele hazioti.

Kamwagiwa ndoo ya maji kangaa ivyoo. Hii hakuna. Cant buy it.

Waafrika ni rahisi sana kudanganywa na tuna mapenzi makubwa sana na habari za matukio ya kutisha kutisha.Huyo mtu (Msukule) amekaa kwenye hicho kizimba kwa muda gani na alikuwa anakula nini kwa muda wote huo?
 
Kuna watu wengi tu wameshafanya tafiti mintarafu imani za uchawi na majini.Vitu hivyo havipo badala yake matukio yote yanayosemekana ni uchawi au majini ni story za kutunga tu na ujanja ujanja Wa watu kujipatia pesa.Na Mimi nasema imani yoyote ya dini iliyojengwa juu ya majini na uchawi itakufilia mbali siku zijazo.Uelewa Wa watu unaongezeka sana.Yale Makanisa yanayoita watu waende wakatolewe uchawi au wapewe majini ili wawe matajiri watafilia mbali huko.
 
Mimi hapa sikubali. Msukule gani umenyoa. Inamaana nywele hazioti.

Kamwagiwa ndoo ya maji kangaa ivyoo. Hii hakuna. Cant buy it.
Hukubali nn as hujahi ona mtu kipala na nywele hazioti?pia fuatilia sayansi inasema nn kama mtu haonani na mwanga as jua matokeo yake nn jb ni fupi tu
 
Back
Top Bottom