misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 17,580
- 14,159
Hahahah. ..kweli kabisawatanzania wape picha tu , story watatoa wenyewee
Hahahah. ..kweli kabisawatanzania wape picha tu , story watatoa wenyewee
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]watanzania wape picha tu , story watatoa wenyewee
Mleta thread ameandika wazi, picha amekuta kwenye group la WhatsApp, na hakuna maelezo ya kujitosheleza.Hamna haja ya kumtafuta shetani. .bali ni sisi wenyewe tukiamua kuwa makatili kupindukia. ...
Jamani kweli ubinadam kazi
Mleta thread ameandika wazi, picha amekuta kwenye group la WhatsApp, na hakuna maelezo ya kujitosheleza.
Hivyo basi.........
Mleta uzi baada ya kuona hizo picha, amejazilizia maelezo yeye mwenyewe hadi yalipo jitosheleza
Hiii habari niliiona insta Na maneno sawiya alioleza mleta uziMleta thread ameandika wazi, picha amekuta kwenye group la WhatsApp, na hakuna maelezo ya kujitosheleza.
Hivyo basi.........
Mleta uzi baada ya kuona hizo picha, amejazilizia maelezo yeye mwenyewe hadi yalipo jitosheleza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kinumi Una matata....Ni waongo kama kweli uchawi upo kwa nini wasimshushe uncle tezi dume ili akiwa nje kutibiwa sisi huku tuweze kupumua kidogo
A mysterious event happened at ONDO ODUDUWA STREET, ONDO STATE.
Nigeria
A boy of about 12yrs old was found in the middle of moulded laid blocks. It is beyond imagination, it is unexplainable, The boy sang for like 3 days before the people around discover it was a human and began to break the wall.
He was placed behind the walls alive, buried alive behind walls, used as a foundation for a church building, and yet how he survive is still a mystery, Passersby use to complain about hearing a strange noise behind the wall until one man has the courage to break the wall and behold...
Sorry imebidi ni quote maelezo yenu wote wawili. Ila kupata ufafanuzi vizuri.Nimeikuta hii habari Na Picha kwenye moja ya group la Whatsaap.
Haina Maelezo yanayojitoshereza zaidi ya kusema Baada ya Dada kugombana Na Kaka yake, ndo akamwaga mboga kuwa Kaka yake wakati anajenga hiyo nyumba, alijenga kichumba kidogo Sana, Na kumuweka Msukule wake ambapo alibakiza kisehemu kidogo Sana (Tundu)
Then akaendelea Na ujenzi mpaka kumaliza!
Siri ikajulikana majuzi baada ya Mdada kuropoka.......
Picha zinaonyesha hatua kwa hatua toka kuvunja mpaka kumtoa Msukule.View attachment 446633 View attachment 446634 View attachment 446636
Uko vizuri ktk reasoning mkuu. Hata ukiangalia vidle kucha si ndefu.Mimi hapa sikubali. Msukule gani umenyoa. Inamaana nywele hazioti.
Kamwagiwa ndoo ya maji kangaa ivyoo. Hii hakuna. Cant buy it.
Kwa hiyo mkuu wewe tupe habari basi huyo ni nani na kwanini aliyekua hapo? Je misukule wapo au hawapo? Mimi kwa experience yangu ukikuta mtu anasema hakuna kitu uchawi au misukule yeye au ndugu zake anakua ndio kazi yake, sasa kwasababu ni kazi ya giza hapendi jamii iwe na ufaham na mambo hayoHuyo msukule hana hata ukurutu? Au alitengewa na kabafu kwenye hako kachumba.
Sorry imebidi ni quote maelezo yenu wote wawili. Ila kupata ufafanuzi vizuri.
Mnazungumzia story moja,lakini maelezo yenu yanakinzana.
Mmoja anasema ugomvi wa kaka na dada ukasababisha dada kuropoka, huyu mwingine anasema msukule uliwekwa kwenye foundation ya church.
Which is which??
A mysterious event happened at ONDO ODUDUWA STREET, ONDO STATE.
Nigeria
A boy of about 12yrs old was found in the middle of moulded laid blocks. It is beyond imagination, it is unexplainable, The boy sang for like 3 days before the people around discover it was a human and began to break the wall.
He was placed behind the walls alive, buried alive behind walls, used as a foundation for a church building, and yet how he survive is still a mystery, Passersby use to complain about hearing a strange noise behind the wall until one man has the courage to break the wall and behold...
Boy trapped in a wall for three days while people ignored him cryingSorry imebidi ni quote maelezo yenu wote wawili. Ila kupata ufafanuzi vizuri.
Mnazungumzia story moja,lakini maelezo yenu yanakinzana.
Mmoja anasema ugomvi wa kaka na dada ukasababisha dada kuropoka, huyu mwingine anasema msukule uliwekwa kwenye foundation ya church.
Which is which??