Mstahiki meya wa manispaa ya Ilala Mh. Jerry Slaa amefiwa na bibi yake leo. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake maeneo ya Makongo. Source: Jahazi la Clouds FM
Aisee unaweza kujikuta unaambulia matusi wakati ulikuwa na lengo zuri la kuhabarisha umma juu ya kufiwa kwa Jerry Slaa.
MoDs naomba mbadilishe title ya thread maana ina mislead sana.
Ina-mislead nini hapo? Hujawahi kuona kichwa RAIS AFUMANIWA halafu habari inamzungumzi Rais wa Chuo Kikuu cha Dodoma akutwa na mke wa mtu. Sioni tatizo kwenye hiyo heading.
Ina-mislead nini hapo? Hujawahi kuona kichwa RAIS AFUMANIWA halafu habari inamzungumzi Rais wa Chuo Kikuu cha Dodoma akutwa na mke wa mtu. Sioni tatizo kwenye hiyo heading.
Rest In Peace grandfather!