Mstaafu rais ben mkapa ashambuliwa...................

sinafungu

JF-Expert Member
Feb 13, 2010
1,524
863






Habari














Mkapa ashambuliwa










Ezekiel Kamwaga

Toleo la 315
11 Sep 2013










315_ochieng.jpg



  • Swahiba wa baba Obama amwondolea uvivu





RAIS mstaafu Benjamin Mkapa ametuhumiwa kwamba ndiye aliyerejesha nchini rushwa, kitu ambacho kilipigwa vita na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ambaye ndiye aliyewalea kiuongozi na kisiasa Mkapa na viongozi wengi wengine wa sasa.
Tuhuma hizo zimetolewa na mwandishi mkongwe wa habari Afrika Mashariki, Philip Ochieng, katika mahojiano aliyofanyiwa na gazeti la Daily Nation la Kenya hivi karibuni
 
Ochieng anamfahamu Mkapa fika kwani walifanya wote kazi na wakina Ulli Mwambulukutu pale daily News enzi hizo Mkapa akiwa Managing Editor; hivyo anachoandika anausahihi nacho!!
 
Back
Top Bottom