ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Mstaafu Kikwete ndo aliyeko hai hadi Sasa, Marais wengine washatangulia mbela ya haki
Mambo yanaenda kombo, tuko kwenye Giza Nene, na wewe Mstaafu umeshindwa kumshauri au kuiongolewa Tanganyika
Angekuwepo Mkapa, Nyerere, Mwinyi, au Magufuli wasingekaa kimya wangetoka kumshauri na kukemea
Mzee Kikwete
1. Idadi ya watu wanaopotea hujaisikia, kwanini unakaa kimya
2. Mgombea pekee wa Urais, hili kwako unaona ni sawa
3 Suala la bandari kwako halijakufika
4 Masai Ngorongoro hawana makazi, hili nalo umelipuuza Watanganyika wanakuwa wakimbizi nchini kwao, na huko Zanzibar amani Iko
5. Ufisadi
Toka Mzee wetu utoe neno
Mambo yanaenda kombo, tuko kwenye Giza Nene, na wewe Mstaafu umeshindwa kumshauri au kuiongolewa Tanganyika
Angekuwepo Mkapa, Nyerere, Mwinyi, au Magufuli wasingekaa kimya wangetoka kumshauri na kukemea
Mzee Kikwete
1. Idadi ya watu wanaopotea hujaisikia, kwanini unakaa kimya
2. Mgombea pekee wa Urais, hili kwako unaona ni sawa
3 Suala la bandari kwako halijakufika
4 Masai Ngorongoro hawana makazi, hili nalo umelipuuza Watanganyika wanakuwa wakimbizi nchini kwao, na huko Zanzibar amani Iko
5. Ufisadi
Toka Mzee wetu utoe neno
