TRUE TANZANIAN
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 434
- 462
sasa km babako akiwa shoga utafanyaje?
Utampiga risasi au utavaa mabomu ukamlipue?
Sishabikii ushoga hata kidogo ila ktk ulimwengu wa roho tunapaswa kuwaombea ili wabadilike na pia tuwape mafundisho ya kibiblia ili wapate kumjua YESU.
Suala la kuhumu ni la Mungu na si binadamu.
Kuwatenga na kuwakemea tunaruhusiwa sbb itatuonyesha kwamba tumechukizwa.
Sasa babako akiwa shoga ukimuua unafikir utakwenda mbingu ya nani? Au unafikiri baada ya kumlipua kwa bomu ww utaenda mbinguni?
Huoni km unajiongezea dhambi
Ivi leo ukasikia babako anashiriki mapenzi ya jinsia moja utasubiri mpaka Mungu aje amuonye?? Unapokuwa kiongozi ishi kama kiongozi ujinga wa kuvuana chupi wanaume kwa wanaume mwisho ilikuwa SODOMA! Alishindwa kusema hata ivo?? Laana zingine hapa duniani tunazitaka wenyewe... Ndoa za jinsia moja HAZIKUBALIKI!!!
Hapo ndio utajua kuwa Islam ni dini ya Kweli
Hakuna kuiboresha zambi km imekemewa..
Tatizo wakristo wanatumia sana akili zao kuiongoza Biblia wakat tayar wameikuta imekamilika wanataka kuiongezea vitu kulingana na nafsi zao zinavyotaka
Qur'an haibadillishwi na hakuna kuongeza chochote bcz imekamilika na imetoamuongozo wa jins gan binadamu tuish hakuna kulegeza sheria hata km zinatubana
Kuelewa vizuri biblia inahitaji utulivu wa ndani, ili roho mtatatifu akufunulie . Kemea maovu wakati wote, ila usihukumu mtu kwa uovu wake.
kweli mkuu mashoga siku hiz wanazidi kuongezeka kutokana na mahitaji ya wateja wao.Pole sana ndugu hata maana ya ulemavu huijui krb ujiunge na kanisa langu la ki lucifa ntakupa ushemasi, ulemavu wa aina yoyote mwathirika huomba Mungu amponye, lkn huo unaosema wewe walemavu wake wanautangaza na kutaka na wengine wengi wajiunge kwa dhamiri thabiti kbs, anyways mashoga ni wengi sana siku hizi hata humu naamini wamo
Hauna mamlaka ya kuhukumu ni Mungu pekee lkn vingine vilivyobakia unaweza kufanya.Nadhani tuhukumu kwanza ili tuweze kukemea uovu, kukemea ndio adhabu yenyewe sio kumumba radhi mtuhumiwa
suala la kuomba radhi nakiri hapo yupo wrong sbb mtenda dhambi haombwi radhi hata siku moja.
Ila kuhukumu haitakiwi sbb ni mambo ya rohoni. Ndio maana huwa hatujui mtu kawaza nn ila Mungu ndio anajua.
Hauna mamlaka ya kuhukumu ni Mungu pekee lkn vingine vilivyobakia unaweza kufanya.
hebu elewa kuwa shoga ni mpango wa shetani.
Kwahiyo utampa athari za ushoga kwanza.
Kisha unampa mafundisho ya bibiblia na kuhusu mpango wa Mungu unasemaje kwa wanadamu.
Kwa akili ushawahi kuona mtumishi anaenda kumuhubiria mtenda dhambi halafu anamuomba msamaha?
Ww unafikiri baada ya kugundua rafiki yako shoga kwahiyo ni kubeba kisu kwenda kumuua au kumlipua kwa mabomu?
Kuna dhambi pia zingine zinachukiza mbele za Mungu km kunyonya sehemu za siri na pia kufanya mapenz kinyume na maumbile.
Ww unafikir kunyonya sehemu za siri za mwanamke au mwanaume sio dhambi?
kweli mkuu mashoga siku hiz wanazidi kuongezeka kutokana na mahitaji ya wateja wao.
Hiv mtu anayenyonya sehemu za siri, anakula tigo huyu hawez kuwa mteja wa mashoga? Km akikosa mwanamke wa kumpa tigo?
Tabia za ushoga sio asili yetu africa hiz tabia zilichochewa na watu weupe.
Sasa baada ya watu kuangalia mikanda ya ngono za kimagharibi wakaanza uadopt huu utamaduni.
Kiukweli mm napinga sana ushoga na kunyonya sehemu za siri. Huwa ni uchafu kwangu
sasa mkuu unafikir kumuua mwenzio utaenda mbingu ya mabox?Mimi ni mkatoliki kindakindaki naanza kuukubali uislam hata kam sheria ni ngumu kutekeleza quran ikisem muovu shika kichwa kata shingo ua hakuna majadiriano ni kuchinja .tu
Labda hiyo sio dhambi!nashauri pia waache kukemea dhambi nyingine ili mungu mwenyewe afanye yake.
TOFAUTISHA KUHUKUMU NA KUKEMEA
Kwa mfano wew baba ako afanywe hivyo utafanya nin
nipo upande wa Mungu.Hapa unachanganya hbr, za Mungu na za lucifa, embu jinasibu wewe uko upande upi
kwahiyo utamuua?Mpaka hapo atakapokuwa naamini ntakuja na uzi mpya humu ndani kwamba mzee alieaminika anashiriki mapenzi ya jinsia moja akutwa amekufa vibaya na mwili wake kukutwa..... aseee kwa hilo sitamuacha apeleke upumbavu wake kaburini!
Papa Francis amewataka Wakatoliki Duniani kuwaomba radhi watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kwa madai kuwa si haki kuwahukumu na kuwachukulia kinyume kwani kanisa halina mamlaka ya kuwahukumu.
Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya ndege wakati akirejea kutoka Armenia,Papa Francis kanisa pia linapswa kuwaomba makundi mengine ambayo yametengwa kama vile wanawake,masikini na watoto ambao wapo katika ajira hatarishi. Hata hivyo baadhi ya wakatoliki wenye msimamo mkali wamepinga hatua yake ya kuwazungumzia watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.