moonlightj12
Member
- Dec 6, 2022
- 33
- 90
Habari wana jamvi
Leo nilikua kwenye kikao Cha familia tukijarbu kusuluhisha hii case, uyu dada ameolewa lakini kuna muda hajiskii tu kukaa na mumewe, yaani according to her kwa maudhi aliyonayo mumewe hua kuna muda anataka kukaa mwenyewe.
Kwaiyo amekua akiiba Hela ndan hata 10m anaondoka anaenda anakaa ukoo zikiisha anawatuma ndugu wanamuomba mume wanaludiana.
Hii imejiludia kama mara tatu. Juzi mdada wa kazi akamskia akipanga kuondoka tena kwenda dar, dada akamshilikisha baba mwenye nyumba ndo tukakaa icho kikao.
But nimeobserve machache nimeona tushare
Wanawake heshimu waume zenu tuacheni kuleta maisha ya bongo movie in real life.
Kama mwanaume anasomesha watoto ndan mnakula vzuri na wewe anakujali jamani hayo mengine vumilieni punguzeni drama.
Mwanaume hata awe mlevi chakaram hafai kiasi gani niamin mim a man is very useful in the house nyumba yenye baba siku zote inaheshima yake.
Muombee mumeo pale unapoona umefika mwisho but please acheni kuwadhalilisha Hawa wanaume.
Kitendo Cha kua na mwanaume wa kulala nae usiku ni jambo tosha la kumshukuru Mungu heshimuni waume zenu.
NB: Kuna wanaume ni wakatili uku nje jamani na kuna wanaume wana mateso kupitlza uuyo wako anaeonesha kujali embu na wewe mjali, mtunze, muheshimu, muombee.
Leo nilikua kwenye kikao Cha familia tukijarbu kusuluhisha hii case, uyu dada ameolewa lakini kuna muda hajiskii tu kukaa na mumewe, yaani according to her kwa maudhi aliyonayo mumewe hua kuna muda anataka kukaa mwenyewe.
Kwaiyo amekua akiiba Hela ndan hata 10m anaondoka anaenda anakaa ukoo zikiisha anawatuma ndugu wanamuomba mume wanaludiana.
Hii imejiludia kama mara tatu. Juzi mdada wa kazi akamskia akipanga kuondoka tena kwenda dar, dada akamshilikisha baba mwenye nyumba ndo tukakaa icho kikao.
But nimeobserve machache nimeona tushare
Wanawake heshimu waume zenu tuacheni kuleta maisha ya bongo movie in real life.
Kama mwanaume anasomesha watoto ndan mnakula vzuri na wewe anakujali jamani hayo mengine vumilieni punguzeni drama.
Mwanaume hata awe mlevi chakaram hafai kiasi gani niamin mim a man is very useful in the house nyumba yenye baba siku zote inaheshima yake.
Muombee mumeo pale unapoona umefika mwisho but please acheni kuwadhalilisha Hawa wanaume.
Kitendo Cha kua na mwanaume wa kulala nae usiku ni jambo tosha la kumshukuru Mungu heshimuni waume zenu.
NB: Kuna wanaume ni wakatili uku nje jamani na kuna wanaume wana mateso kupitlza uuyo wako anaeonesha kujali embu na wewe mjali, mtunze, muheshimu, muombee.